Konny Joseph
Member
- Aug 28, 2016
- 81
- 133
Kesi nyingi zinazopelekwa kituoni hapo zinashindwa kupata ufumbuzi wala kupelekwa mahakamani kwa kuwa askari wenye dhamana kituoni hapo wamekithiri katika uombaji wa rushwa.
Watu wengi wanawekwa mahabusu kwa issue za madai ambazo kimsingi Jeshi la Polisi kisheria huwa hawahusiki nazo.
Watu wanaoleta malalamiko kituoni hapo wanalazimishwa kutoa fedha kama gharama za kushughulikia malalamiko yao, jambo linalotoa uzito kwa watu kupeleka malalamiko yao kituoni hapo.
Watu wengi wanawekwa mahabusu kwa issue za madai ambazo kimsingi Jeshi la Polisi kisheria huwa hawahusiki nazo.
Watu wanaoleta malalamiko kituoni hapo wanalazimishwa kutoa fedha kama gharama za kushughulikia malalamiko yao, jambo linalotoa uzito kwa watu kupeleka malalamiko yao kituoni hapo.