OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Hivi maduka yauzayo silaha kama lile la Tanganyika Arms huwa yanalindwa na nani?
Hili liwe fundisho kwa askari wa vituo vingine.
Una chokochoko wewe!!!!!????
Hivi maduka yauzayo silaha kama lile la Tanganyika Arms huwa yanalindwa na nani?
Hili liwe fundisho kwa askari wa vituo vingine.
Hakuna chopper au anafanya raking????!!!
Wengine tulishaonya udhaifu wa kiulinzi ktk vituo vyote vya Polisi.....Askari wakishtukizwa watachanganyikiwa tu ........bado jeshi la polisi wapo kwenye enzi za kuogopwa kimazoea tu ......leo tunaonya tena Polisi wabadilike namna ya kuweka vituo vyao ktk hali ya utayari kila sekunde .......pia uwezekano wa jeshi kuwa bastola za kisasa za kutosha kwa kila askari badala ya kutegemea SMG ambazo ktk mazingira ya kawaida si nyepesi sana ktk kujibu mashambulizi ya ghafla na yanayohitaji safe and quick respond.....
Chopper haina mafuta.
serikali ya ccm imefanya maisha ya watanzania kua magumu mpaka raia wanafanya unyama kama huu daah poleni wahanga wa hili tukio..
CCM ni chama cha maruhani.
Mkuu relax umeongea kwa jaziba hao nimajirani zetu sio wa tz
umekutana na igp wa wapi na akielekea wapi maana kasamwa na ushirombo mbalimbali!
Huwa nafatilia sana setting za vituo vya polisi na ukaaji wao katka lindo. Kwa kweli ni hatari tupu kwa usalama wa polisi wenyewe na silaha zao. Yaani hawa vijana wa siku hizi ni wazembe kvpitiliza. Unakuta wamelundikana sehemu moja na visimu wako kwe fasibuku, au wameweka silaha chini wanatongoza malaya. Kuna siku nmekwenda polisi kivinje wilayani kilwa nkamkuta askari wa zamu kalala fofofo kwa ulevi huku smg iko chini majira ya sa 4 usiku. Sio ajabu kumkuta polisi anasilaha huku akitoa mwanya kwa raia kupita nyuma yake. Angalieni vituo vidogo vya kongowe,kibada,himo,nachingwea stand,kimanzchana,sanawari nk, havina usalama kwa askai wa kizazi hiki kwani viko katkat ya mikusanyiko, makazi au njia za kukatiza kila upande. Pamoja na hayo askari wa kisasa wanafanya kazi kwa mazoea. Enzi zile askari humwamini raia, akipita unamkazia jicho la kumsaspect lakini polisi wa leo wanavuna maunda ya uzembe. Katka medani za jeshi hakuna neno 'bahati mbaya' kila tendo linalo pelekea kupotea,kifo,jeraha kwa askari/zana bila reaction. Haiingii akilini watu waje waue askari, wajichukulie silaha kisha wandoke salama. Huu ni uzembe, lazima watu wawajibishwe maana ni fedheha. Haiwezkani mijitu ilalipwa mishahara na kunenepeana huku ikichapa usimgizi.
Nchi imewekwa rehani. Serikali dhaifu, Jeshi la polisi limelala fofofo, wanachojua ni kudhibiti upinzani tu na kuhakikisha ccm 'inatawala milele'. Matokeo yake ndio hayo... Poleni wote mlioguswa na hili, lakini watu wa kuleta mabadiliiko ni sisi wenyewe. Mungu Ibariki Tanganyika!
Huwa nafatilia sana setting za vituo vya polisi na ukaaji wao katka lindo. Kwa kweli ni hatari tupu kwa usalama wa polisi wenyewe na silaha zao. Yaani hawa vijana wa siku hizi ni wazembe kvpitiliza. Unakuta wamelundikana sehemu moja na visimu wako kwe fasibuku, au wameweka silaha chini wanatongoza malaya. Kuna siku nmekwenda polisi kivinje wilayani kilwa nkamkuta askari wa zamu kalala fofofo kwa ulevi huku smg iko chini majira ya sa 4 usiku. Sio ajabu kumkuta polisi anasilaha huku akitoa mwanya kwa raia kupita nyuma yake. Angalieni vituo vidogo vya kongowe,kibada,himo,nachingwea stand,kimanzchana,sanawari nk, havina usalama kwa askai wa kizazi hiki kwani viko katkat ya mikusanyiko, makazi au njia za kukatiza kila upande. Pamoja na hayo askari wa kisasa wanafanya kazi kwa mazoea. Enzi zile askari humwamini raia, akipita unamkazia jicho la kumsaspect lakini polisi wa leo wanavuna maunda ya uzembe. Katka medani za jeshi hakuna neno 'bahati mbaya' kila tendo linalo pelekea kupotea,kifo,jeraha kwa askari/zana bila reaction. Haiingii akilini watu waje waue askari, wajichukulie silaha kisha wandoke salama. Huu ni uzembe, lazima watu wawajibishwe maana ni fedheha. Haiwezkani mijitu ilalipwa mishahara na kunenepeana huku ikichapa usimgizi.
!
!
wangewauwa kama kumi hivi angalau....nikiwaona huwa namaind mno hasa nikizingatia wanakula kodi yangu. Nachoka kabisa. Hata hivyo,hongera majambazi.
Yaan ni balaa,haya majamaa karibia yatakuwa tishio.
Wapigwe tu maana tumechoka sasa!