Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
Taarifa zilizotufikia punde zinasema kuwa wananchi wenye hasira wakiwa na silaha za jadi, wamevamia kituo cha polisi mjini Mugumu wakishinikiza kuwahukumu watuhumiwa wa mauaji. Kweli hawa Wakurya hawana imani na polisi. Mh Vuai ameligusia hili kupitia taarifa ya habari ya ITV. Je wananchi kujichukulia sheria mikononi ni matokeo ya wananchi kutokuwa na imani na CCM
Source: Mdau -Mugumu
Source: Mdau -Mugumu
Attachments
-
254870_230893743594883_100000227783512_1168392_3692873_n.jpg27 KB · Views: 1,095
-
254870_230893750261549_100000227783512_1168394_4212254_n (1).jpg30.4 KB · Views: 1,063
-
254870_230893753594882_100000227783512_1168395_6950938_n (1).jpg24.8 KB · Views: 1,009
-
254870_230893756928215_100000227783512_1168396_1779702_n (1).jpg28.7 KB · Views: 1,029