Kituo cha polisi Bumbuli chachomwa moto

Kituo cha polisi Bumbuli chachomwa moto

je, na kwenyewe ni cdm au? yaani mwaka huu mtakuja na vitimbwi kila kona
 
Kuna taàrifa nimezipata kuwa kituo cha polisi cha BUMBULI kimechomwamoto baada ya mgongano wa polisi na wananchi..Naendelea kupata taarifa zaidi na kama alienipa taarifa kama naweza kunipatia picha..
mbunge wao yupo busy saloon akioshwa kucha na SALAMA.
 
Naambiwa na ofisi ya kata nayo imehalibiwa vibaya sana wanasema hawana mbunge wa kuatetea bali wana mbunge wa kwenye magazeti mkaazi wa dar es salaam ambaye ni january makamba..

kwenye red. Nawapa heko kwa kuwa na utambuzi kama huu.
 
Vurugu za Bumbuli ni uzaifu wa Serikali hii! Nasema kwamba Tanzania ina misingi ya Uhuru wa maneno na si wa vitendo.
Nasema hivo kwa sababu kuu 2.

Sababu ya kwanza ni kila mtu ana uhuru wa kuabudu na kuamini anacho amini
Sababu ya pili kwa nini walizuia wele wanajimu ama Waganguzi wasiendelee kufanya kazi zao?
Hizi ndio sababu ninazo sema kwamba CCM inakila sababu kulaumiwa kwa kuwazuia Waganguzi
waliokuwa wanafanya kazi zao.

Wananchi waliwakubali hao Waganguzi Police na viongozi wa kijiji wakawazuia je hakuona kwamba
ni kama kuachagulia kula chakula wasichotaka?

Matokeo ya CCM Wananchi wamechoka na ni jambo jema wale wote walokamatwa wakaachiwa huru.

Kituo cha Police kuharibiwa vibaya na office ya katibu Tarafa ni Matokeo ya kifo cha CCM 2015
Narudia kusema Jeneza la CCM lipo Tanga .
NAWAKILISHA.
 
Hii hoja nilivyoona tu aliyeileta nikajua ataforce ili kmchafua january makamba...january ni mchapakazi usimhusishe na huo upuuz
 
CRASHWISE... UNATAKA KUGOMBEA UBUNGE BUMBULI NII? Hii hoja nilivyoona ni tofauti kabsa bt unaforce kuinganisha na mbunge kipenz cha wanabumbuli ili kmchafua january makamba...january ni mchapakazi usimhusishe na huo upuuz kajpange upya
 
CRASHWISE... UNATAKA KUGOMBEA UBUNGE BUMBULI NINI? Hii hoja nilivyoona ni tofauti kabsa bt unaforce kuinganisha na mbunge kipenz cha wanabumbuli ili kmchafua january makamba...january ni mchapakazi usimhusishe na huo upuuz kajpange upya
 
Amna siasa apo january makamba anakubalika bumbuli amna mfano mzee makamba yupo jimbon kmakaz na daily anahamasisha maendeleo na january mda mwngi akiwa nje ya wizara yupo bumbuli tanga vina wa membe mnampga vta january whyyyyyy au kwa sababu anamkubali lowasa
 
Amna siasa apo january makamba anakubalika bumbuli amna mfano mzee makamba yupo jimbon kmakaz na daily anahamasisha maendeleo na january mda mwngi akiwa nje ya wizara yupo bumbuli tanga vijana wa membe mnampga vta january whyyyyyy au kwa sababu anamkubali lowasa
 
Hii hoja nilivyoona tu aliyeileta nikajua ataforce ili kmchafua january makamba...january ni mchapakazi usimhusishe na huo upuuz
Kwa hiyo kwenye sakata hili Janauary hahusiki? kuna mudau kwenye thread hii ameleta melezo ya january kutoka kwenye facebook na twitte kama kawaida yake ndiyo maana wananchi wamecho upumbavu wake...na uchaguzi mudogo uliofanyika majuzi ni ishara tosha kuwa wamechoka na mbunge wa facebook na twitte....
 
mbunge wa twita na fesibuku mjinga sana huyu dongo lakini nashukru wana bumbuli wamesha mshitukia juzi wamemuonyesha kwa kijiji kumchagua kiongozi wa chadema, huwezi kuongoza jimbo kwa twita hukuùkijua wananchi wako hata asilimi tano hawajui fb na twita..watu wa hivyo ni akina mnyika hao hata wakishinda twita nitamwelewa..

Niongezee hapo, tulipokuwa bumbuli kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Tamota niliwaambia Wananchi wa Bumbuli Kwa bahati mbaya sana wamechagua mbunge wa laptop. Na hili alilisema mwenyewe akiwa Dar, nikawaomba wa mtumie salamu wananchi wakanielewa kutoka kura 0 mpaka nafasi ya 2. Uchaguzi wa juzi wa vijiji wananchi wakamuonyesha.. Sasa tunamuhakikishia mbunge wa laptop 2015 asahau jimbo hilo. Nitatoka jimboni kwangu na kumuwekea kambi jimboni kwake utashi huwo ninao na anajua hilo maana alinisakama sana kwenye twita nilipo mwita mbunge wa laptop
 
ndugu yangu Selungo, kama ni uchaguzi hao watakuwa ccm, kwa maana wana hasira ya kushindwa uchaguzi huo.
 
Mwanangu we muongo sana haufai kuaminiwa hata kidogo mambo ya ushilikina na siasa wapi na wapi?
Kwanza sina mama mjinga kama wewe hivyo ukome kuniita mwanao, labda kama wewe ni kimada wa baba yangu...pili unaposema swala hili halina u-siasa ndani yake kwa hiyo na huyu January alichokiandika kwenye twitte ni tumwiteje au January siyo mwana siasa kwa kuwa ubunge alupata kwa dada yake kumvulia nguo boss wa Vodacom au wewe ndiyo Mwamvita Makamaba nakuambia kama ni wewe ndiye Mwaka 2015 utachochoa sana nguo kumuokoa kaka yako...
Nimeona tweet ya januari makamba kuwa alimfukuza mganga huyo na kisha wazee wakachukia sana kwa yeye kufanya hivyo na mganga akaahidi kumuwinda januari
====

mchaguni slaa sasa.masabur kazini
Na kweli wewe ni masaburi nashangaa hujapigwa ban wakati wengine tukitumia neno hili tunafungiwa....
 
Niongezee hapo, tulipokuwa bumbuli kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Tamota niliwaambia Wananchi wa Bumbuli Kwa bahati mbaya sana wamechagua mbunge wa laptop. Na hili alilisema mwenyewe akiwa Dar, nikawaomba wa mtumie salamu wananchi wakanielewa kutoka kura 0 mpaka nafasi ya 2. Uchaguzi wa juzi wa vijiji wananchi wakamuonyesha.. Sasa tunamuhakikishia mbunge wa laptop 2015 asahau jimbo hilo. Nitatoka jimboni kwangu na kumuwekea kambi jimboni kwake utashi huwo ninao na anajua hilo maana alinisakama sana kwenye twita nilipo mwita mbunge wa laptop
Huogopi kungolewa kucha bila ngazi...hahahaha
 
Back
Top Bottom