Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,371
kama kisa itakuwa ule uchaguzi wa serikali ya kijiji unadhani wachomaji watakuwa akina nani mkuu?
Watakuwa walochaka na wizi wa kura na unyanyasaji wa police ambapo sasa imekuwa siyo shm ya kupata haki tena