Kunatàrifa nimezipata kuwa kituo cha polisi cha BUMBULI kimechomwamoto baada ya momgano wa polisi na wananchi..naendelea kupata taarifa zaidi na kukama alienipa taarifa kama naweza kunipatia picha..
Hizo ni athari za uonevu. Na bado.
Mkuu!
Kisa ni ule uchaguzi wa serikali ya kijiji nini?
Naambiwa na ofisi ya kata nayo imehalibiwa vibaya sana wanasema hawana mbunge wa kuatetea bali wana mbunge wa kwenye magazeti mkaazi wa dar es salaam ambaye ni january makamba..
Naambiwa na ofisi ya kata nayo imehalibiwa vibaya sana wanasema hawana mbunge wa kuatetea bali wana mbunge wa kwenye magazeti mkaazi wa dar es salaam ambaye ni january makamba..
Naambiwa na ofisi ya kata nayo imehalibiwa vibaya sana wanasema hawana mbunge wa kuatetea bali wana mbunge wa kwenye magazeti mkaazi wa dar es salaam ambaye ni january makamba..
Nimwewasiliana na wadau walioko huko, inaonekana kulikuw ana Mzee wa kimila akitoa tibba hapo kijijini na ofisi ya kata kushirikiana na polisi walimkamata na kumuweka ndani. sasa basi wananchi zaidi ya 500 wakajikusanya kwenda kumtoa huko polisi na kufanikiwa kuchoma moto hizo ofisi pamoja na kituo cha polisi.
ila inaonekana issue kubw ani CCM kuchokwa kwani wanchi wnahasira sana na MACCM kwahiyo wapatapo sababu na pahali pa kutolea hasira zao basi huwa hawana utani hata kidogo.
Nimwewasiliana na wadau walioko huko, inaonekana kulikuw ana Mzee wa kimila akitoa tibba hapo kijijini na ofisi ya kata kushirikiana na polisi walimkamata na kumuweka ndani. sasa basi wananchi zaidi ya 500 wakajikusanya kwenda kumtoa huko polisi na kufanikiwa kuchoma moto hizo ofisi pamoja na kituo cha polisi.
ila inaonekana issue kubw ani CCM kuchokwa kwani wanchi wnahasira sana na MACCM kwahiyo wapatapo sababu na pahali pa kutolea hasira zao basi huwa hawana utani hata kidogo.