Mapenzi cku zote huwa na stage...big expectations kwa watu wengi ndio zinatucost....you know mnaweza kuwa mnapendana yes But Huwa inafikia wakati mnazoeana na ndio vitu kama hivyo vinapoanza kujitokeza....
Mapenzi ni more than i love you,i love you too....Love is friendship...msipokuwa marafiki vitu ka hivyo kutokea ni obvious
acha udhaifu, ameshakupotezea, nawe komaa upotezee....
bwana ametoa , bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe
seriously? ??? mhhhh! !!!
pardon!!!!! sijakuelewa
unamaanisha nini???
Mapenzi cku zote huwa na stage...big expectations kwa watu wengi ndio zinatucost....you know mnaweza kuwa mnapendana yes But Huwa inafikia wakati mnazoeana na ndio vitu kama hivyo vinapoanza kujitokeza....
Mapenzi ni more than i love you,i love you too....Love is friendship...msipokuwa marafiki vitu ka hivyo kutokea ni obvious
ni maamuzi tu, ka amechoka afanyaje!? ukiona hivyo ni mara mia ukaadapt kuliko kujifanya unamrudisha kwenye mstari, maana utaumia mara mbili zaidi...
Ilinitokea hii kijana, lakini nikiwa kama mwanaume,sikubabaika kujiuliza mara mbili mbili.
Nilinyanyua simu nikaamuuliza tu anieleze kama ni nyeupe au nyeusi? Akajibu nyeusi nikamwambia haaya mama mungu awe nawe.
Nilikuja pata mashine mpaka nikawa naiogopa,nkaanza kujiuliza nlikuwa nafanya nn kwa yule ---- kule.god forgive.nashukuru tuko kwenye hatua muhimu nampenda sana.
U just go bwana.
kuna ubaya...?
i love you zimemtosha