Kitumbua kimeingia mchanga

Kitumbua kimeingia mchanga

kuna maswali ya kipuuzpuuz sana
-Uko wapi
-Una fanya nini
-Upo na nani??
Aaaaargh,wanaume weng hawayapend

mmmhhh kuna mazingira mengine no way lazima umuulize tu just kwa afya na ustawi wa penzi lenu! abiria chunga mzigowo ohooooo...
 
Habari za mchana wadau

Moja kwa moja niende pointini, Hivi kunakuwa na nini kinachofanya mpenzi wako wa karibu akasitisha au kubadili style fulani ya maisha ambayo alikuzoesha?

Kwa mfano zamani mlikuwa mkiwasiliana 24/7 either kwa kuchat kwa sms au kuongea lakini nowadays hola. zamani simu kutwa mlichaji hata mara 5 nowadays unachaji mara 1 tu na chaji haiishi.

Zamani mlijiunga cheka zogo ya dakika 90 hata mara 4 mkaongea mpaka saa 7 usiku nowadays hata ya 250 zile dk 8 mpaka zinaexpire, maneno yote matamu uliambiwa sasaivi hata I love u unaisikia kwa jirani au mpaka umwambie ndio aitikie I love u too.

Zamani phone sex kila siku saivi mpaka ushasahau.

Zaman kila alichokua anafanya aliku-update saivi mpaka umuulize unafanya nini mbona kimya?

Seriously it hurts kwakwel na kukufanya udoubt japo huujui ukweli but automatic mazingira yatakupelekea kweny kuwaza kinegative zaidi.

Kama umemchoka just tell him/ her so that can know where to stand.

And if not why so?

"Ukimegewa demu wako Nawe tafuta Mnyonge Umegee"
 
Mie nadhani mmemaliza kuigiza maisha. Sasa ndio mnaanza kuishi maisha kiuhalisia..
 
Zamani husingiziwa mengi sana...

Wengi husahau kuwa tunaishi sasa na wala si jana au juzi...
 
Ni muda wa kutafuta maisha, wenzake wengi saivi wako mbali yeye bado yupo tu na i love you zako
 
Koh koh koh koh koh koh koh koh... C uwe kama mimi mapenzi nimeyapa kisogo yaan sasa hv hakuna stress ni raha tupu.. Kuwa single kuna raha yake ndugu zanguni...
 
Back
Top Bottom