Kitumbua kimeingia mchanga

Kitumbua kimeingia mchanga

hahahahhahaaaaa........pole bana.....c na wewe ukauke tuuu......ana sababu yake may be.....

okay nmejaribu kuuchuna namimi naona kaahtuka naye anaanza kulalama! nimeamini dawa ya moto ni moto
 
Mtoa mada umenigusa moja kwa moja. Lakin hii kitu ikinitokea huwa najichomoa kimya kimya. Hapo sababu kuu ni kuwa anakuwa kapata mwingine au kakuchoka...

pole mwenzangu ndio nimeanza kimya kimya
 
Kama issue ni maneno matamu tu..anza kumwambia wewe, mwambie maneno matamu yooote, hakutafuti? Anza wewe kumtafuta halafu onyesha hukwaziki, Haku update mambo yake? we mu update yako.....!

Then maduku duku yakikuzidia mvizie siku kapoa, mko katika pozi la kimahabat...tema nyongo zako zooote bila kupanick...asipokuelewa basi....!

nimefanya hivo wee mpaka nimechoka saiv naona kawaida tu..
anipigie asinipigie...aniapdate asiniapdate is up to yeye ..
 
Afu ukiona mtu kakubadilikia usijiloge kumwambia muachane yaani hapo utaumia zaidi,cha msingi we left kimya kimya,mtu aliechange vigumu kumbadilisha ukitaka abadilike subiri muachane mkae utashangaa anarudi mxiuuuu mtimue usikubali kua nae tena watu wa hivi ndio hata wakioa ikitokea kaona kihawara huko nje utajuta ndani ya nyumba

ndo nimeanza hivoo namuona sikuhizi ananiuliza eti mbona kimya?? kha kha alikua anatilisa kiberiti.
 
Afu ukiona mtu kakubadilikia usijiloge kumwambia muachane yaani hapo utaumia zaidi,cha msingi we left kimya kimya,mtu aliechange vigumu kumbadilisha ukitaka abadilike subiri muachane mkae utashangaa anarudi mxiuuuu mtimue usikubali kua nae tena watu wa hivi ndio hata wakioa ikitokea kaona kihawara huko nje utajuta ndani ya nyumba

ndo nimeanza hivoo namuona sikuhizi ananiuliza eti mbona kimya?? kha kha alikua anatilisa kiberiti mpaka njiti zikamwagika
 
Ilinitokea hii kijana, lakini nikiwa kama mwanaume,sikubabaika kujiuliza mara mbili mbili.

Nilinyanyua simu nikaamuuliza tu anieleze kama ni nyeupe au nyeusi? Akajibu nyeusi nikamwambia haaya mama mungu awe nawe.

Nilikuja pata mashine mpaka nikawa naiogopa,nkaanza kujiuliza nlikuwa nafanya nn kwa yule ---- kule.god forgive.nashukuru tuko kwenye hatua muhimu nampenda sana.

U just go bwana.

hongera sana.. nami mungu atanisaidia tu... I believe in God the father ALMIGHTY.
 
Kama issue ni maneno matamu tu..anza kumwambia wewe, mwambie maneno matamu yooote, hakutafuti? Anza wewe kumtafuta halafu onyesha hukwaziki, Haku update mambo yake? we mu update yako.....!

Then maduku duku yakikuzidia mvizie siku kapoa, mko katika pozi la kimahabat...tema nyongo zako zooote bila kupanick...asipokuelewa basi....!

mapenzi shidaa... pesa ndo kabisa...nishike wapi mimi nahis nadhalilikaa.. waladeee..waladee (teh just singing)
 
Jamani lunavitu tunavifanya katika hatua za awali za mapenzi ni msisimko tu but sio maisha halisi. Wewe hujiulizi dakika 180 kila siku usiku za kuongea ni maisha ama adhabu? Kureport kil nukta unayofanya ni sahihi? Mapenzi yapo moyo.I na ni furah inayo jengeka baina ya watu wawili ke na me. Tupendane, tuheshimiane, tukumbukane na mwisho ya yote tuvumiliane. Tumia akili ya kawaida kuchambua nguvu ya soda na penzi la kweli. Hata soda ukiifungua inapandisha gesi kisha inTulia haimaanishi kuwa gesi imeisha kwenye soda.
 
may be he/she is not financially stable, that is why suddenly changed from previously action, but it sound good if you'll ask
what is the problem instead of just guessing
 
Mapenzi bana mi huwa sms moja tu kwa siku yatosha sihitaji zaidi ya hapo maana nilimwambia weee nikaona naongea na kiziwi hasikii. Ila kwa sasa no stress nimeamua kutulia nione afanyacho. Ila mwisho wa siku anarudi mwenyewe. Watoto wa kike ukiwazoesha upuuzi watakupuuza
 
Jamani lunavitu tunavifanya katika hatua za awali za mapenzi ni msisimko tu but sio maisha halisi. Wewe hujiulizi dakika 180 kila siku usiku za kuongea ni maisha ama adhabu? Kureport kil nukta unayofanya ni sahihi? Mapenzi yapo moyo.I na ni furah inayo jengeka baina ya watu wawili ke na me. Tupendane, tuheshimiane, tukumbukane na mwisho ya yote tuvumiliane. Tumia akili ya kawaida kuchambua nguvu ya soda na penzi la kweli. Hata soda ukiifungua inapandisha gesi kisha inTulia haimaanishi kuwa gesi imeisha kwenye soda.

umeongea point mpaka nimekupenda..
 
Jamani lunavitu tunavifanya katika hatua za awali za mapenzi ni msisimko tu but sio maisha halisi. Wewe hujiulizi dakika 180 kila siku usiku za kuongea ni maisha ama adhabu? Kureport kil nukta unayofanya ni sahihi? Mapenzi yapo moyo.I na ni furah inayo jengeka baina ya watu wawili ke na me. Tupendane, tuheshimiane, tukumbukane na mwisho ya yote tuvumiliane. Tumia akili ya kawaida kuchambua nguvu ya soda na penzi la kweli. Hata soda ukiifungua inapandisha gesi kisha inTulia haimaanishi kuwa gesi imeisha kwenye soda.

okay lem wait and see
 
may be he/she is not financially stable, that is why suddenly changed from previously action, but it sound good if you'll ask
what is the problem instead of just guessing

nkimuuliza tatizo nini anasema mbona hakuna tatizo lolote!
 
Back
Top Bottom