Ni mapungufu gani hayo madogo madogo?
Kama issue ni maneno matamu tu..anza kumwambia wewe, mwambie maneno matamu yooote, hakutafuti? Anza wewe kumtafuta halafu onyesha hukwaziki, Haku update mambo yake? we mu update yako.....!
Then maduku duku yakikuzidia mvizie siku kapoa, mko katika pozi la kimahabat...tema nyongo zako zooote bila kupanick...asipokuelewa basi....!
Afu ukiona mtu kakubadilikia usijiloge kumwambia muachane yaani hapo utaumia zaidi,cha msingi we left kimya kimya,mtu aliechange vigumu kumbadilisha ukitaka abadilike subiri muachane mkae utashangaa anarudi mxiuuuu mtimue usikubali kua nae tena watu wa hivi ndio hata wakioa ikitokea kaona kihawara huko nje utajuta ndani ya nyumba
Afu ukiona mtu kakubadilikia usijiloge kumwambia muachane yaani hapo utaumia zaidi,cha msingi we left kimya kimya,mtu aliechange vigumu kumbadilisha ukitaka abadilike subiri muachane mkae utashangaa anarudi mxiuuuu mtimue usikubali kua nae tena watu wa hivi ndio hata wakioa ikitokea kaona kihawara huko nje utajuta ndani ya nyumba
Ilinitokea hii kijana, lakini nikiwa kama mwanaume,sikubabaika kujiuliza mara mbili mbili.
Nilinyanyua simu nikaamuuliza tu anieleze kama ni nyeupe au nyeusi? Akajibu nyeusi nikamwambia haaya mama mungu awe nawe.
Nilikuja pata mashine mpaka nikawa naiogopa,nkaanza kujiuliza nlikuwa nafanya nn kwa yule ---- kule.god forgive.nashukuru tuko kwenye hatua muhimu nampenda sana.
U just go bwana.
sipati picha duu wako akikuzingua yan mana dah akili ni nouma.
ndo nimethubutu nikaweza..namuona kashtuka saiv ananiuliza kulikoni??
Kama issue ni maneno matamu tu..anza kumwambia wewe, mwambie maneno matamu yooote, hakutafuti? Anza wewe kumtafuta halafu onyesha hukwaziki, Haku update mambo yake? we mu update yako.....!
Then maduku duku yakikuzidia mvizie siku kapoa, mko katika pozi la kimahabat...tema nyongo zako zooote bila kupanick...asipokuelewa basi....!
Jamani lunavitu tunavifanya katika hatua za awali za mapenzi ni msisimko tu but sio maisha halisi. Wewe hujiulizi dakika 180 kila siku usiku za kuongea ni maisha ama adhabu? Kureport kil nukta unayofanya ni sahihi? Mapenzi yapo moyo.I na ni furah inayo jengeka baina ya watu wawili ke na me. Tupendane, tuheshimiane, tukumbukane na mwisho ya yote tuvumiliane. Tumia akili ya kawaida kuchambua nguvu ya soda na penzi la kweli. Hata soda ukiifungua inapandisha gesi kisha inTulia haimaanishi kuwa gesi imeisha kwenye soda.
Jamani lunavitu tunavifanya katika hatua za awali za mapenzi ni msisimko tu but sio maisha halisi. Wewe hujiulizi dakika 180 kila siku usiku za kuongea ni maisha ama adhabu? Kureport kil nukta unayofanya ni sahihi? Mapenzi yapo moyo.I na ni furah inayo jengeka baina ya watu wawili ke na me. Tupendane, tuheshimiane, tukumbukane na mwisho ya yote tuvumiliane. Tumia akili ya kawaida kuchambua nguvu ya soda na penzi la kweli. Hata soda ukiifungua inapandisha gesi kisha inTulia haimaanishi kuwa gesi imeisha kwenye soda.