ungejua pa kusimamia ..
Show your true colour from the beginning...hutapata majanga ya hivyo. the problem we have ni kwamba huwa tunapretend sana mwanzoni ambapo baada ya muda hizo acting zikiisha ndo mawazo kama hayo huanza.
bado sijayaona labda kama ameyaficha..
khakhaaaa mi najipa ili nisiumiee kiivoo
Kwanza inashauriwa msiwasiliane mara kwa mara yaan kila sekunde au dakika! mtachokana haraka, kwa mfano maneno yale yale kila siku, au style ya kumuanza au kumwingia mwenzio ni ile ile!
kwa mfano: mpenzi wako umezoea kumuanza "vipi" kila siku hilo hilo neno so linakuwa common!
badilisha angalau "mambo baba watoto" "shikamoo my dear" najua hapa ni vita.....
kama unanijua vile,,,m hua nafanya ivo wkt sijapata kitumbua,,nikionjeshwa tu mambo yanaenda harijojo km ivo
tena cha kimya kimya dadadeki...
okay nashkuru ngoja niufanyie kaz ushauri wako ntakupa feedback