View attachment 134388 MORE PHOTOS
This just in: North Korea has landed a man on the Sun. 17-year-old Hung Il Gong started his journey at 3am this morning, travelling alone, to reach our nearest star, a journey that took him just 4 hours.
A North Korean central news anchorman said during a live broadcast: "We are very delighted to announce a successful mission to put a man on the sun. North Korea has beaten every other country in the world to the sun. Hung Il Gong is a hero and deserves a hero's welcome when he returns home later this evening".
Hiyo habari haina tofauti na story utakazozikuta kijiweni, wakati uatakapowakuta vijana weshapiga msuba wao.
Utasikia wanadanganyana kuwa mbona kwenda mamtoni ni kitu simple tu, kama kumsukuma mlevi!
Unajichukulia tu karambo kako na unaanza kucross border moja hadi nyingine, kwa kutembea kwa miguu, after very short time unajikuta tayari ushakanyaga ardhi ya bara Ulaya!!
Unless hawa wakorea watuambie wanalo Jua lao lingine waliloenda, lakini kama Jua lenyewe ndiyo hili tunalolijua sote, ambalo lina umbali wa mamilioni ya maili hadi hapa Duniani, lakini joto lililopo hapa Duniani, wakati mwingine huwa tunakoma ubishi, ambapo huwa zaidi ya 40 degree centigrade, na hutokezea binadamu wengine kupoteza maisha yao hapa hapa duniani kwa joto kali, sembuse kuliendea huko huko lililopo, ambako inasemekana temperature yake huko ni more than 5000 centigarade!!
Inaelekea hawa wakomunisti wa Korea, kwa kuwa, hawaamini uwepo wa Mungu, nadhani ni kama wameamua kufanya jokes na Mungu, ili waone ata-react vipi!!