KITUKO!!: North Korea confirms it has landed a man on the Sun Read

KITUKO!!: North Korea confirms it has landed a man on the Sun Read

Sijamkashifu mtu, hakuna mtume aliyesema hiyo kitu huyu jamaa anajua alipotoa hiyo theory..
Ulisikia wapi mtume anasema maneno hayo... afu hamna uongo wowote nlioongea kwenye statement yangu. Kashfa iko wapi, kashfa inakuja ka ktu kadanganya,

Teh teh teh ...jifunze kusoma na kuelewa ustaadhi.
 
Teh teh teh ...jifunze kusoma na kuelewa ustaadhi.
Inabidi huyo jamaa hapo juu ndio asome na kuelewa.. Mimi hua sisomi vitabu vya dini, dini yoyote itakayosema kitu kama hicho kuanzia siku hiyo sitoiamini kabisa.. nahisi jamaa alitafsiri vibaya tu..
 
Mnabisha nyie mshawahi kufika huko mkaona kuna joto?hivo vitabu vya wazungu wanatudanganya Kuwa juwa ni moto
 
Mbona US walitudanganya kuwa walipeleka mtu kwenye moon na mpaka leo tunaamini hivyo na hatujawai kuwaita "CRAZY"....
 
kutoka hapa mpaka kwenye jua kuna umbali wa 148 million kilometers.
inakuaje hapo sasa kufika ndani ya masaa manne tu?????
impossibilities in impossibilities.
 
Mtume Muhammad anasema kama kuna chombo chenye kasi sana ambacho kitafika kwenye jua basi chombo hicho chenye kasi kubwa kitatumia 500yrs to reach there,now how within 4hrs only???
This must be a propaganda!

Je unafahamu jotoridi litokanalo katika uso wake?

Je unafahamu jua limeundwa na nini?
 
Kwa namna yoyote hii habari ni uzushi...

Huenda serikali ya Pyongyang inataka kuutaarifu ulimwengu kuwa hata Wamarekani walidanganya ulimwengu kama wao wafanyavyo...

Au ni habari ya uzushi tu kwenye mitandao yenye sifa ya kueneza habari kama hizi kupitia web portals zao...
 
Kama kaweza kufika kwenye jua kwa masaa ma4 anaweza kuizunguka dunia nzima kwa sekunde 4..
 
I like Mugabe's Thinking. It was an INDEPENDENT THINKING. For the rest why don't we think that the N Koreans are right?
 
This just in: North Korea has landed a man on the Sun. 17-year-old Hung Il Gong started his journey at 3am this morning, travelling alone, to reach our nearest star, a journey that took him just 4 hours.

Man on the sun? Which sun, surely not the planet sun. It must be a sun painted on the ground by some kindergarten kids in Korea.

If you believe this, then it is very easy for me to understand why we Tanzanians will never be emancipated from mental enslavement by the ruling fat cats.
 
Mnabisha nyie mshawahi kufika huko mkaona kuna joto?hivo vitabu vya wazungu wanatudanganya Kuwa juwa ni moto

Vitabu vya wazungu vyenye kutudanganya ndio vilivyokufanya ujifunze kusoma, kutumia simu ya mkononi, kujua kuwasha TV yako, kuendesha gari, kuwa na watu wanaitwa madaktari unaokimbia kuwaona ukiumia au kuumwa, kutumia JF, kuvaa nguo za ndani, nk.

Sasa unataka kutuambia nini?
 
Inabidi huyo jamaa hapo juu ndio asome na kuelewa.. Mimi hua sisomi vitabu vya dini, dini yoyote itakayosema kitu kama hicho kuanzia siku hiyo sitoiamini kabisa.. nahisi jamaa alitafsiri vibaya tu..

ila akisema mzungu ndio sawa.?
 
Back
Top Bottom