KITUKO!!: North Korea confirms it has landed a man on the Sun Read

KITUKO!!: North Korea confirms it has landed a man on the Sun Read

Eti 'he deserves a hero welcome when he returns back home this evening'

Si mpaka arudi? Labda kama ameenda kwenye jua la kuchora
 
wanachofanya ni "kumtisha adui." hakuna jingne.
 
Naskia hata Mugabe alimwambia Larry King "we'll be the first people to land on the sun" Alipoambiwa it's impossible because it's too hot et alijibu "we shall go at night fool", Inawezekana nae alienda usiku jua likiwa "LIMEZAMA" teh teh teh.

Duh, hii kali
 
Msije kuta hicho ni kipindi cha zee comed ya huko kwao...
 
Hawa N.Korea ni kituko wamewachimba bit S.Korea wasifanye mazoezi na USA kama wanataka wapatane,uyu Kim anata awafanyie maamuzi hadi S.Korea,hata iyo ya jua ni fix tu ili waonekane wako juu
 
Dunia kwa wastani iko about150 million Km kutoka kwenye Jua. lkn bado joto, hasa katika tropics, unali feel kiasi uachoshuhudia. Wanasayansi wa Magharibi wameshafanya utafiti na kubaini ukweli kwamba, Jua ni sawa na Nuclear reactor na kwa sasa iko halfway ya kuunguza energy source iliyonayo ambayo ni miaka4.6 billion. Maana yake ni kwamba kuna kipindi Jua litaishi wasource of energy na kuzimika kabisa. Muda uliobaki ni around 4.5 billion year lkn itaenda kwa awamu. hatahivyo, ktk awamu zote mpaka kufikia Jua kuzimika kabisa, dunia pamoja na sayari zingine hasa kufikia Mars zitakuwa incenerated kabisa na kufa pamoja na Jua lenyewe. NASA imefanikiwa kutuma chombo kinachochunguza jua linavyofanya kazi lkn chombo hicho kinachukua taarifa kutoka mbali kwa vile nguvu yajua ni kubwa sana. Sasa hawawakorea wanapodanganya waru kuwa kuna tu wao kaenda huko, lbd kw miujiza yz uchawi lknkatika hali ya kawaida, joto la juani kali sana na mtu huwezi tua hapo uka survuve. Hilo tusidanganyane
 
Naskia hata Mugabe alimwambia Larry King "we'll be the first people to land on the sun" Alipoambiwa it's impossible because it's too hot et alijibu "we shall go at night fool", Inawezekana nae alienda usiku jua likiwa "LIMEZAMA" teh teh teh.

Baba V thanks for making my day...nimecheka asubuhi asubuhi
 
4 hrs kwenda kwenye jua? sio rahisi hivyo .... tutasikia mengi tu tusubiri
 
Haitakaa itokee binadamu aweze kufika kwenye Jua!!! Never!!! Hakuna aina yoyote ya elements zilizopo duniani inayoweza kuhimili joto la Jua (6000[SUP]0[/SUP]C). Hata hakuna any Alloy ambayo inaweza kuhimili joto hilo! This is a mere Conspiracy Theory. Hata ile ziara ya mwezini ya Neil Armstrong watu wanaitia question mark. It could also be a Conspiracy Theory. Let's be frank.
 
Nakuunga mkono khs hiyo ya kwenda kwenye Jua. Joto la kwenye Jua ni kali sana kama ulivosema. Unajua hata kwenye Mars bado binadamu hajapata tekinolojia ya kumfikisha kutokana na joto lake pamoja na hewa iliyoko huko. Mwezini watu wameenda mara nyingi sana. In fact kwa sasa focus ni kwenye Sayari na maeneo mengine maana mwezini hakuna jipya saaaana. Kwenye Jua ni kitu tofauti sana. Lkn NASA wana chombo kinachopata taarifa toka kwenye jua ambacho kiko umbali mkubwa but kina nguvu ya kuchukua picha toka juani.
 
Baada ya muda kidogo anapewa tuzo.
North Korea akili zao haziko sawasawa.

Wanaweza kuwa wanaitania japan kwa japan ni NI PON yaani chanzo cha siku au jua kama bendera yake yaani alama ya jua
 
Absolutely impossible. Hakuna material yoyote inaweza ku approach jua na isiungue
 
The madness begs the question did Americans land a man on the moon four decades ago?
 
A new world DEBATE...

Muda si mrefu U.S watakuwa wamefika mbinguni/peponi physically and not spirturally..

hahahahaha..
Thanks KIM, for the NEW WORLD DISCUSSION..!!
 
^^
Jua lilikuwa na centgrade ngapi wakati huo!
Dunia ina mambo
^^
 
Mi sichangii chochote mpaka Hung Il Gong arudi,nasikia anarudi leo jioni...
 
Back
Top Bottom