Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Aug 10, 2012 #1 Refa mmoja alikuwa anachezesha mechi mara ikapigwa cros safi then refa kauganisha kwa tikitaka hadi ndani ya nyavu. Guess kilichofuata...
Refa mmoja alikuwa anachezesha mechi mara ikapigwa cros safi then refa kauganisha kwa tikitaka hadi ndani ya nyavu. Guess kilichofuata...
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Aug 10, 2012 #2 Atapigwa mabusu na timu iliyoshinda na ktk sheria za fifa ni goli
Mwita Matteo JF-Expert Member May 16, 2010 216 55 Aug 12, 2012 #4 kilichofuata si mpira kuwekwa kati au?
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,458 29,151 Aug 12, 2012 #5 Excellent said: Refa mmoja alikuwa anachezesha mechi mara ikapigwa cros safi then refa kauganisha kwa tikitaka hadi ndani ya nyavu. Guess kilichofuata... Click to expand... Tik-tak kama ile ya Rooney mwaka Jana?
Excellent said: Refa mmoja alikuwa anachezesha mechi mara ikapigwa cros safi then refa kauganisha kwa tikitaka hadi ndani ya nyavu. Guess kilichofuata... Click to expand... Tik-tak kama ile ya Rooney mwaka Jana?
K kingsley Member Aug 4, 2012 42 13 Aug 12, 2012 #6 kama ni yanga na azam mwasika anafungiwa maisha soka.
boma2000 JF-Expert Member Oct 18, 2009 3,280 310 Aug 12, 2012 #7 kilichofuata ni kushangilia goli zuri la tik-tak
Pancras Suday JF-Expert Member Jun 24, 2011 8,143 3,830 Aug 12, 2012 #8 Kama sikosei hapo uwajanjani patageuka kuwa somalia au syria