Ibrahimovic
Member
- Mar 23, 2011
- 39
- 7
So, dunia haijaisha! (Ofcourse 21th may 2011 haukuwa mwisho wa dunia). Tafadhali tumia nafasi hii kutuambia ni vitu gani au ni kitu gani ulichowahi kufanya ambacho ungekijutia kama kweli tarehe 21 ingekuwa mwisho wa dunia. Hebu fanya hivyo leo kwasababu hatujui ni muda gani tumebakiza hapa duniani..