Kitu gani ungekijutia?

Kitu gani ungekijutia?

Ibrahimovic

Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
39
Reaction score
7
So, dunia haijaisha! (Ofcourse 21th may 2011 haukuwa mwisho wa dunia). Tafadhali tumia nafasi hii kutuambia ni vitu gani au ni kitu gani ulichowahi kufanya ambacho ungekijutia kama kweli tarehe 21 ingekuwa mwisho wa dunia. Hebu fanya hivyo leo kwasababu hatujui ni muda gani tumebakiza hapa duniani..
 
Nitajutaje kama ni mwisho wa dunia? ningekuwa nimekufa na niko kwingine kabisa. Roho ikiacha mwili hakuna cha kujutia hapo! Labda wakati nashuhudia lile tetemeko kubwa na kali likitokea kuimaliza dunia siku hiyo kitu ambacho ningejutia ni baadhi ya WATANZANIA kuwapa kura zao watu wasiofaa kuliongoza Taifa letu, kuanzia ngazi za udiwani, ubunge na Uraisi.

Hilo kwa kweli ningelijutia saaana, maana tunaelimisha mno mijitu lakini wapiii bwana dah!:shut-mouth:
 
Back
Top Bottom