Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Mi nakumbuka matukio kadhaa.
• Kwanza mwenye mpira lazima awe mshambuliaji namba 9
• Ukiwa bonge lazima uwe kipa
• Refa akikupa kadi anakuvunjia kipande kabisa cha plastiki ya njano anakupa ukae nacho
• Mwenye mpira hata akipiga nnje akikomaa kwamba ni goli hamna kipingamizi
Wewe unakumbuka nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
• Kwanza mwenye mpira lazima awe mshambuliaji namba 9
• Ukiwa bonge lazima uwe kipa
• Refa akikupa kadi anakuvunjia kipande kabisa cha plastiki ya njano anakupa ukae nacho
• Mwenye mpira hata akipiga nnje akikomaa kwamba ni goli hamna kipingamizi
Wewe unakumbuka nini?
Sent using Jamii Forums mobile app