white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,312
- 13,277
kuna simu yangu aina ya nokia x6,nashangaa siku hizi imekuwa na tatizo la kila unapotoa betri ukiirudishia tena,inakuwa imepoteza tarehe na muda,inabidi ufanye setting tena!naomba msaada please.