Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,145
Hellow
Mimi mpaka leo sijuwagi kwanini washikaji wanakataa mimba za mademu zao ilihali wao ndio wahusika
Ujue kuna vitu unatakiwa ujiepushe navyo kwenye lile tendo mfano hutaki kuzaa na huyo mwanamke basi mwaga njee au vaa kondom au kama huwezi ukitoka hapo mpe p2 japo sio nzuri sana.
Sasa wewe hujafanya hayo yote na mtoto wa watu kakuambia nipo danger unakomaa kumwagia ndani mimba imekaa halafu unamkimbia na una mkataa akatafute aliempa akamtafutie wapi wakati wewe ndio muhusika
Ase asitokee kidume akamfanyia hivi dada yangu nitachinja mtu.
Mimi mpaka leo sijuwagi kwanini washikaji wanakataa mimba za mademu zao ilihali wao ndio wahusika
Ujue kuna vitu unatakiwa ujiepushe navyo kwenye lile tendo mfano hutaki kuzaa na huyo mwanamke basi mwaga njee au vaa kondom au kama huwezi ukitoka hapo mpe p2 japo sio nzuri sana.
Sasa wewe hujafanya hayo yote na mtoto wa watu kakuambia nipo danger unakomaa kumwagia ndani mimba imekaa halafu unamkimbia na una mkataa akatafute aliempa akamtafutie wapi wakati wewe ndio muhusika
Ase asitokee kidume akamfanyia hivi dada yangu nitachinja mtu.