Kuolewa tunaolewa ila wengi tunakuwa single maza refer faiza na sugu afu uone mwanamke anayekuja kuolewa na sugu,lakin tufanyeje jamn kupendeza tunataka na ndoa tunataka sasa tunafanyeje
Nakubali wavaji ovyo wataishia kuwa michepukoKitu Ambacho wanawake/wasichana hawajui ni kwamba, Wanaume hawaoi mtu alivaa nusu uchi/ au kuwa wazi hao wanakuwaga wa mpito tu. Kila mwanaume anatafuta mwanamke ambae atatulia nae na alietulia kichwani. Lakin mvaa vichupi,vimini,sijui bikini hawa hatuoi!!!!!
Aliyesema wanao chepuka wana tabia njema ni nani? Kwani hujaona nilichoandika hapo?And that's my point,kwanini mchepuko aonekane ana tabia mbaya halafu wewe mume wa mtu ujione una tabia njema?ndege warukao pamoja wamefanana hao,there is no exceptions katika hili.
tuvaeje ndo mtuoe sasa jamani!
Sijakulizimisha ukubaliane na nilichokisema ila inatia mashaka kidogo kwa jinsi unavyojaribu kujenga hoja ya kutake tuwaone wanao vaa nusu uchi kuwa wako sawa.Halafu wanaume wa jf muwe mnakubali katika kutokubalina,haimaanishi eti point ukitoa wewe basi ni valid.Si njema sana katika afya ya mijadala.be open minded manake zaid ya comment mbil unasema watoa point wanawatetea watembea uchi.
Of course sema fashionist naye awe anajitambuaHahahaa...aisee...ila inategemea ntu na ntu..kuna wanaume wanapenda fashionista...