Kitu Ambacho Wasichana/Wanawake Wakijui

Kitu Ambacho Wasichana/Wanawake Wakijui

Kwahiyo mnazungumzia wavaa vichupi, sawa nimewaelewa. 😆
 
niliwahi kusikia eti wanaume mtu wa kuoa huangalia sura zaidi kuliko shepu ila mtu wa kupitisha nae muda huangalia shepu kuliko sura
 
Kuolewa tunaolewa ila wengi tunakuwa single maza refer faiza na sugu afu uone mwanamke anayekuja kuolewa na sugu,lakin tufanyeje jamn kupendeza tunataka na ndoa tunataka sasa tunafanyeje
 
Mtoa mada uko sahihi s kwamba hawa wavaa uchi hawaolew,wanaolewa lakin so kivile na wengi huwa wakiolewa hawawez kukaa kwenye ndoa na kutulia,hvo bas mnaotoa povu sijui kafanya wapi utafti ni kwamba katika kutoa hitimisho huwa tunadeal na majority and not minority.
 
Siamini kama hujanielewa nilichokisema kwa jinsi ninavyokufahamu hapa, nadhani ni katika kutaka kuwatetea watembea uchi, ila sio mbaya sababu ni wanawake wenzako.
Sawa
 
Kweli kabisa. Ila tunaongoza kwa kuwatumia tu. Na hiyo inawapa kiburi na kuona wanapendwa na wengi. Akishtuka hakuna wa kumuweka ndani.

Age ikisogea anaolewa na me yule aliyekuwa anamdharau.
Kitu Ambacho wanawake/wasichana hawajui ni kwamba, Wanaume hawaoi mtu alivaa nusu uchi/ au kuwa wazi hao wanakuwaga wa mpito tu. Kila mwanaume anatafuta mwanamke ambae atatulia nae na alietulia kichwani. Lakin mvaa vichupi,vimini,sijui bikini hawa hatuoi!!!!!
 
Pale waolewaji na waoaji wanapopishana njia 😏😏😏
 
Kweli kabisaa
Teh teh kama mke wa gwajima halafu wanachepuka na maslay queens na wanawahonga hatare hahahahah
Wake zao wanawafiacha hata kuongozana wanaona tabu,kama mke wa gwaji boy amejulikana baada ya mzee kukumbwa na skandali ila mwanzo alimficha teh teh
 
Hata wanawake nao hawawezi kukubali kuolewa na mwanaume anayevaa kata K labda kama wote wawili nati za ubongo zimelegea.
 
Kitu Ambacho wanawake/wasichana hawajui ni kwamba, Wanaume hawaoi mtu alivaa nusu uchi/ au kuwa wazi hao wanakuwaga wa mpito tu. Kila mwanaume anatafuta mwanamke ambae atatulia nae na alietulia kichwani. Lakin mvaa vichupi,vimini,sijui bikini hawa hatuoi!!!!!
sasa mzee hata chupi wasivae
 
Back
Top Bottom