PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,178
Waumini wake mbona wanamfahamu mama mchungaji wao siku zote,wewe tu ndiyo ulikuwa humfahamu,na ungekuwa unafatilia ibaada zake ungekuwa unamfahamu maana kila siku yuko front.

Waumini wake mbona wanamfahamu mama mchungaji wao siku zote,wewe tu ndiyo ulikuwa humfahamu,na ungekuwa unafatilia ibaada zake ungekuwa unamfahamu maana kila siku yuko front.

Ohoooo!!!!Unafikiri hawajui tunataka nini? Wanajua sana sema kusudi2
Si ndio hapo sasa!!!Sema wewe huoi usimsemee kila mtu
Uzungu una waathiri sana wanawake zaid ya wanaume ndo mana kuna ongezeko la maslay queen mtaani
Wanafiki tu hao. Wanaolewa kila kukichaMbn wameolewa kibao na tu naona
Mm na migaun yang mpk saiv sijaolewa
SawaSiamini kama hujanielewa nilichokisema kwa jinsi ninavyokufahamu hapa, nadhani ni katika kutaka kuwatetea watembea uchi, ila sio mbaya sababu ni wanawake wenzako.
Kitu Ambacho wanawake/wasichana hawajui ni kwamba, Wanaume hawaoi mtu alivaa nusu uchi/ au kuwa wazi hao wanakuwaga wa mpito tu. Kila mwanaume anatafuta mwanamke ambae atatulia nae na alietulia kichwani. Lakin mvaa vichupi,vimini,sijui bikini hawa hatuoi!!!!!
Hata wavulana hawahoiAmetuwakilisha vema ni kweli wanaume atuhoi labuda wavulana
Teh teh kama mke wa gwajima halafu wanachepuka na maslay queens na wanawahonga hatare hahahahah
Wake zao wanawafiacha hata kuongozana wanaona tabu,kama mke wa gwaji boy amejulikana baada ya mzee kukumbwa na skandali ila mwanzo alimficha teh teh
sasa mzee hata chupi wasivaeKitu Ambacho wanawake/wasichana hawajui ni kwamba, Wanaume hawaoi mtu alivaa nusu uchi/ au kuwa wazi hao wanakuwaga wa mpito tu. Kila mwanaume anatafuta mwanamke ambae atatulia nae na alietulia kichwani. Lakin mvaa vichupi,vimini,sijui bikini hawa hatuoi!!!!!