gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 6,174
- 6,813
Sawa kabisa. Hizo nguo zenyewe tuliletewa badae sana ila hapo kabla watu walitembea uchi na bado walioana, uko kwa mswati watu bado wanavaa nusu nabado wanaoana tena inawezekana kukawa na wasichana mabikira wengi zaidi yasisi tunaojifanya tuna maadili yakuvaa gubigubi.Linapokuja swala lakuoa kila mtu ana choice yake.Sema wewe huoi usimsemee kila mtu
