MeruA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 1,391
- 2,125
Waumini wake mbona wanamfahamu mama mchungaji wao siku zote,wewe tu ndiyo ulikuwa humfahamu,na ungekuwa unafatilia ibaada zake ungekuwa unamfahamu maana kila siku yuko front.Teh teh kama mke wa gwajima halafu wanachepuka na maslay queens na wanawahonga hatare hahahahah
Wake zao wanawafiacha hata kuongozana wanaona tabu,kama mke wa gwaji boy amejulikana baada ya mzee kukumbwa na skandali ila mwanzo alimficha teh teh