Kitu ambacho wanaume wa humu hawajui

Kitu ambacho wanaume wa humu hawajui

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,351
Wanaume wa humu jueni hili kuwa wanawake wahumu sio single bali kuna kipindi mtu anafunguka kuongeza mtu tofauti na yule aliyenaye ila sio hana .

Nyie mna dhani huyu mtu nisingle.
Mfano hai ni huu mie ni nisiwe mzuri au mzuri na mtu wangu.
Shida nyie mkiona mtu anashida mnaanza kudhani ni single . Kwa hiyo mnaanza kudis qualify .
Mara madharau mara hujui shida yake.

Kunatofauti ya kumtaka mtu na kuhitaji msaada . Msione mtu kawa serious anashida mkadhani anataka ma*****mbu yenu . HAPANA .

MTU anataka msaada tu. Kwani ninapotoka huku nilikuwa naliwa na wanyama siwatu tena nimetafuta mchumba au msaada ifikie watu wahuku muwe na akili sana sana wale wanaojiona wao ndio wao real life ni bora konda. Yeye konda anatafuta chakula chake cha kila siku.

Message za humu ukisoma nyingi mnajionaa kama kweli ndio maisha halisi mnaishi .
Mtu huku anaringa kama utajiri wake ni wa jaz na beyonce.

Nakumbuka humu kuna mtu aliingia inbox akanipa ukweli wa maisha mie siingi inbox za watu maisha sio haya maisha niutoke ujue kuwa dunia imesha sio ile ya kujiona nakusumbua watu na hujawekeza hata jiwe .

Muwe na siku njema

1620122138832.png

 
Wanaume wa humu jueni hili kuwa wanawake wahumu sio single bali kuna kipindi mtu anafunguka kuongeza mtu tofauti na yule aliyenaye ila sio hana .

Nyie mna dhani huyu mtu nisingle.
Mfano hai ni huu mie ni nisiwe mzuri au mzuri na mtu wangu.
Shida nyie mkiona mtu anashida mnaanza kudhani ni single . Kwa hiyo mnaanza kudis qualify .
Mara madharau mara hujui shida yake.

Kunatofauti ya kumtaka mtu na kuhitaji msaada . Msione mtu kawa serious anashida mkadhani anataka ma*****mbu yenu . HAPANA .

MTU anataka msaada tu. Kwani ninapotoka huku nilikuwa naliwa na wanyama siwatu tena nimetafuta mchumba au msaada ifikie watu wahuku muwe na akili sana sana wale wanaojiona wao ndio wao real life ni bora konda. Yeye konda anatafuta chakula chake cha kila siku.

Message za humu ukisoma nyingi mnajionaa kama kweli ndio maisha halisi mnaishi .
Mtu huku anaringa kama utajiri wake ni wa jaz na beyonce.

Nakumbuka humu kuna mtu aliingia inbox akanipa ukweli wa maisha mie siingi inbox za watu maisha sio haya maisha niutoke ujue kuwa dunia imesha sio ile ya kujiona nakusumbua watu na hujawekeza hata jiwe .

Muwe na siku njema
Ebu relax kwanza.
Usipende kupanic maisha ni mafupi saaana.usipende kuchukulia Kila jambo kwa kina.
 
Mambo niliyojifunza katika uzi huu ni kamaifuatavyo:-

1. Kama una mtu wako na unataka mtu mwingine wa ziada huo ni ukahaba au umalaya sasa.

2. Kwa vile huwajui watu humu sidhani kama ni vyema kuwakumu watu wa JF bila kuwa data sahihi. Kuna watu humu wako vizuri sana kifedha na kwa kila kitu na wapo ambao ni hohehahe vile vile.
 
Mambo niliyojifunza katika uzi huu ni kamaifuatavyo:-

1. Kama una mtu wako na unataka mtu mwingine wa ziada huo ni ukahaba au umalaya sasa.

2. Kwa vile huwajui watu humu sidhani kama ni vyema kuwakumu watu wa JF bila kuwa data sahihi. Kuna watu humu wako vizuri sana kifedha na kwa kila kitu na wapo ambao ni hohehahe vile vile.
🤣🤣🤣🤣
 
Inamaana (wote) hatufahamu Hilo? Au waliokufuata PM na kwengine ndio hawafahamu hilo?
Sio hivyo yaani kuna mtu anaringa kisa na shida sasa shida si yakumuhemea nikuonyeshwa tu maeneo basi .
Watu hatuwazi kulalana watu wanawaza hela na michongoo haya khaeni mzanie kila apitae njiani ni anawaza ngono.
 
Fundi hata awatukane sawa tu maana mmegoma kumpokea na anajua wanaume wa jf mngempokea unategemea brain will itasomaje?

Kama sio wenge wanaume tumeumbiwa matesoView attachment 1771161
Sijakataliwa wajameni kuna watu wamekubali kwa moyo mwema na wanaadabu wakaka wawatu wana heshima sana kweli nipo serious wapo cool .
Ila kuna mtu kanikera kanajiona bila yeye sifiki dar es salaam
 
Back
Top Bottom