Ina maana mnamaanisha ni kweli kiti cha rais ni kile kile na anasafiri nacho kila aendako ndani ya nchi?
Kama ni hivyo kwa nini basi Tz isiwe nchi ya kwanza duniani kuamini uchawi, kama inavyochukuliwa? Maana hapa kwetu vitendo hivi vya ushihiri vinaanzia ikulu kushuka mpaka ngazi ya shina.
.