Watanzania wakiona hivi, roho kwaaatu kabisa, ukiwaeleza kwa nini hujaongeza mshahara halafu unawaonyeaha mambo kama haya, SGR, Mwalimu Nyerere, barabara, mashule, vituo vya afya na zahanati, Kigongo Busisi, Jangwani, kwa kweli vifua vyetu sisi watumishi vinatabasamu na kuelewa