Kitengo chetu cha maafa kilikuwa hewa?

Kitengo chetu cha maafa kilikuwa hewa?

Imekuwaje sasa kuna kamati za maafa?
Kwa kweli hapo sijaelewa , ila nadhani ww sio mgeni na hii serikali ya hiki chama...

Inasikitisha sana kwa kwel, yaani disaster preparedness ni zero kabisa. Ila preparedness ya mambo mengine tupo vizuri kweli , kiasi cha kufanya maonyesho barabarani na kusema ni kawaida. Badala ya kufanya maonyesha ya disaster preparedness.
 
Kwa kweli hapo sijaelewa , ila nadhani ww sio mgeni na hii serikali ya hiki chama...

Inasikitisha sana kwa kwel, yaani disaster preparedness ni zero kabisa. Ila preparedness ya mambo mengine tupo vizuri kweli , kiasi cha kufanya maonyesho barabarani na kusema ni kawaida. Badala ya kufanya maonyesha ya disaster preparedness.
Nature knows how to reveal the reality...! The truth..! that prevail no matter what no matter why...!!!
 
.
Hina imepapatuka!!
IMG-20191107-WA0050.jpeg
IMG-20191107-WA0067.jpeg
 
Back
Top Bottom