Kitengo chetu cha maafa kilikuwa hewa?

Kitengo chetu cha maafa kilikuwa hewa?

Imekuwaje sasa kuna kamati za maafa?
Kwa kweli hapo sijaelewa , ila nadhani ww sio mgeni na hii serikali ya hiki chama...

Inasikitisha sana kwa kwel, yaani disaster preparedness ni zero kabisa. Ila preparedness ya mambo mengine tupo vizuri kweli , kiasi cha kufanya maonyesho barabarani na kusema ni kawaida. Badala ya kufanya maonyesha ya disaster preparedness.
 
Kwa kweli hapo sijaelewa , ila nadhani ww sio mgeni na hii serikali ya hiki chama...

Inasikitisha sana kwa kwel, yaani disaster preparedness ni zero kabisa. Ila preparedness ya mambo mengine tupo vizuri kweli , kiasi cha kufanya maonyesho barabarani na kusema ni kawaida. Badala ya kufanya maonyesha ya disaster preparedness.
Nature knows how to reveal the reality...! The truth..![emoji115] that prevail no matter what no matter why...!!!
 
.
Hina imepapatuka!!
IMG-20191107-WA0050.jpeg
IMG-20191107-WA0067.jpeg
 
Back
Top Bottom