Jitu Refu
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 823
- 812
Haya n maajabu ya duniaHapo ndipo niliposhangaa wanatembeza bakuri na zile zinazotangazwa kila mwezi kuvuka lengo zimeenda wapi..?
Haya n maajabu ya duniaHapo ndipo niliposhangaa wanatembeza bakuri na zile zinazotangazwa kila mwezi kuvuka lengo zimeenda wapi..?
Kwa kweli hapo sijaelewa , ila nadhani ww sio mgeni na hii serikali ya hiki chama...Imekuwaje sasa kuna kamati za maafa?
Nature knows how to reveal the reality...! The truth..!Kwa kweli hapo sijaelewa , ila nadhani ww sio mgeni na hii serikali ya hiki chama...
Inasikitisha sana kwa kwel, yaani disaster preparedness ni zero kabisa. Ila preparedness ya mambo mengine tupo vizuri kweli , kiasi cha kufanya maonyesho barabarani na kusema ni kawaida. Badala ya kufanya maonyesha ya disaster preparedness.
that prevail no matter what no matter why...!!!