Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,548
- 2,180
Nawashauri kipindi hiki kuelekea Oktoba na hatma ya uchaguzi mkuu jaribuni kuwa active. Wenzenu upande wa pili wako vizuri sana. Vijana wenu hasa kwenye online platforms waambieni wajaribu kwenda na kasi zaidi ya wenzenu upande wa pili.
Pangu Pakavu
Pangu Pakavu