Kitengo cha propaganda CHADEMA mmepoa sana!

Kitengo cha propaganda CHADEMA mmepoa sana!

Hossam

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
3,548
Reaction score
2,180
Nawashauri kipindi hiki kuelekea Oktoba na hatma ya uchaguzi mkuu jaribuni kuwa active. Wenzenu upande wa pili wako vizuri sana. Vijana wenu hasa kwenye online platforms waambieni wajaribu kwenda na kasi zaidi ya wenzenu upande wa pili.

Pangu Pakavu
 
WEWE NI CCM UNAPIMA UPEPO.TUTOLEE UCHAWA HAPA.
 
Nawashauri kipindi hiki kuelekea Oktoba na hatma ya uchaguzi mkuu jaribuni kuwa active. Wenzenu upande wa pili wako vizuri sana. Vijana wenu hasa kwenye online platforms waambieni wajaribu kwenda na kasi zaidi ya wenzenu upande wa pili.

Pangu Pakavu
OLE WAKE MTANZANIA ATAYEPANGA MSTARI KUPIGA KURA MWAKA OKTOBA MWAKA HUU
 
Chadema haitegemei Propaganda. Chadema inahudumu kwenye ukweli na uhalisia

Propaganda ni mbinu zinazotumiwa na mashetani
 
Back
Top Bottom