GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,261
Huwa nagombana na Moderator ambaye anajivika jukumu la kubadilisha heading pasipo kuwasiliana nami nikamwelewesha maana najua anakuwa hajaelewa.na simlaumu kwa kutokuelewa.alipaswa aniulize na si kubadilisha heading yangu.
Huyu Mh. Anthony Mtaka ni nani? Nina Mashaka na Uraia wake. Si Mtanzania.
Nimekuwa mara nyingi sana nikijiuliza kuhusiana na Mkuu wa Mkoa huyu. Nimegundua anaweza kuwa Mtanganyika au Raia wa nchi fulani.
Nimeshangaa inakuaje mtu wa aina yake anapewa nafasi muhimu kama hiyo ya Ukuu wa Mkoa? Mambo anayoyafanya Mheshimiwa Anthony Mtaka si ya Raia wa nchi yetu.
Nmeshtuka na kitendo chake cha kutokubaliana na maamuzi sahihi ya mkuu wa wilaya aliyesema kuwa wafanyakazi wakachangie Mashine iliyoibwa Hospital. Mbona haya ndo yalikuwa maamuzi sahihi ya watanzania waliopewa madaraka wa nchi hii?
Hawa wafanyakazi walishindwa nini kuwekeana zamu ya kulinda hiyo mashine?walishindwa nini muda wote kuwa wameizingira kuhakikisha haiibwi?kwanini hawakusitisha kazi nyingine na kukaa wakilinda hiyo mashine ya Ultra Sound?
Walipe tu kama alivyotokwa na maneno DC.nani anakuja kusema HAKATWI MTU HAPA? huu siyo uzalendo.tungeanzia hapo halafu turudi nyuma na zile pesa zetu zote zilizopigwa na wahuni mbalimbali nazo zichanqwe zirudishwe.
Naomba mheshimiwa Rais amwangalie Anthony Mtaka inawezekana si Raia wa Tanzania au basi anatumika na Mabeberu au Wapinzani. Tabia anazoonesha si za mbuzi jike hata kidogo.ni za kibeberu.
Huyu Mkuu wa Mkoa anapata wapi muda wa kutumia akili katika maamuzi yake?anapata wapi?anawezaje kufikiri kabla ya kunena au kutenda?maana yake hayupo busy kama wenzie ambao tunaona maamuzi yao. Huyu atenguliwe.hana sifa za Mwana CCM wa miaka hii.
Serikali chunguzeni uraia wa vizazi vyake hata vitano nyuma. Huyu hawezi kuwa Mtanzania, Hawezi kuwa Mwana CCM. Msije sema sikusema.
Huyu Mh. Anthony Mtaka ni nani? Nina Mashaka na Uraia wake. Si Mtanzania.
Nimekuwa mara nyingi sana nikijiuliza kuhusiana na Mkuu wa Mkoa huyu. Nimegundua anaweza kuwa Mtanganyika au Raia wa nchi fulani.
Nimeshangaa inakuaje mtu wa aina yake anapewa nafasi muhimu kama hiyo ya Ukuu wa Mkoa? Mambo anayoyafanya Mheshimiwa Anthony Mtaka si ya Raia wa nchi yetu.
Nmeshtuka na kitendo chake cha kutokubaliana na maamuzi sahihi ya mkuu wa wilaya aliyesema kuwa wafanyakazi wakachangie Mashine iliyoibwa Hospital. Mbona haya ndo yalikuwa maamuzi sahihi ya watanzania waliopewa madaraka wa nchi hii?
Hawa wafanyakazi walishindwa nini kuwekeana zamu ya kulinda hiyo mashine?walishindwa nini muda wote kuwa wameizingira kuhakikisha haiibwi?kwanini hawakusitisha kazi nyingine na kukaa wakilinda hiyo mashine ya Ultra Sound?
Walipe tu kama alivyotokwa na maneno DC.nani anakuja kusema HAKATWI MTU HAPA? huu siyo uzalendo.tungeanzia hapo halafu turudi nyuma na zile pesa zetu zote zilizopigwa na wahuni mbalimbali nazo zichanqwe zirudishwe.
Naomba mheshimiwa Rais amwangalie Anthony Mtaka inawezekana si Raia wa Tanzania au basi anatumika na Mabeberu au Wapinzani. Tabia anazoonesha si za mbuzi jike hata kidogo.ni za kibeberu.
Huyu Mkuu wa Mkoa anapata wapi muda wa kutumia akili katika maamuzi yake?anapata wapi?anawezaje kufikiri kabla ya kunena au kutenda?maana yake hayupo busy kama wenzie ambao tunaona maamuzi yao. Huyu atenguliwe.hana sifa za Mwana CCM wa miaka hii.
Serikali chunguzeni uraia wa vizazi vyake hata vitano nyuma. Huyu hawezi kuwa Mtanzania, Hawezi kuwa Mwana CCM. Msije sema sikusema.