Bintiwangara
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 551
- 287
Hiki kitu ndicho kilikuwa Goli la mkono la CCM, ukiambiwa kura zirudiwe kuhesabu tu basi imekula kwako, CCM siku zenu zinahesabika.
Hii ilianza kwa Lembeli Kaham, imeenda kwa Kiwia Ilemela, imeenda kwa Wenye Nyamagana, Jimbo la kyela Mwamanyaki alimshinda Mwakyembe waliporudia kuhesabu mwamayaki ikiala kwake, Jimbo la Rungwe Mwambigija naye alishashinda, wakalazimisha kurudia kuhesabu alipokubari , ikala kwake Amoni wa ccm akashinda Daa, walitaka kuitumia kwa Mdee Mdee Kagoma, walitaka kuitumia kwa J.Haule Mikumi , akagoma .
Hii tekiniki ya CCM , ndiyo ilikuwa Goli la mkono.
kafulila Mpaka muda huu ameshinda, lakini analazimishwa akubari Kura kuhesabiwa upya anakataa- Ameshastukia mchezo.
Hii ilianza kwa Lembeli Kaham, imeenda kwa Kiwia Ilemela, imeenda kwa Wenye Nyamagana, Jimbo la kyela Mwamanyaki alimshinda Mwakyembe waliporudia kuhesabu mwamayaki ikiala kwake, Jimbo la Rungwe Mwambigija naye alishashinda, wakalazimisha kurudia kuhesabu alipokubari , ikala kwake Amoni wa ccm akashinda Daa, walitaka kuitumia kwa Mdee Mdee Kagoma, walitaka kuitumia kwa J.Haule Mikumi , akagoma .
Hii tekiniki ya CCM , ndiyo ilikuwa Goli la mkono.
kafulila Mpaka muda huu ameshinda, lakini analazimishwa akubari Kura kuhesabiwa upya anakataa- Ameshastukia mchezo.