Kitendo cha kurudia kuhesabu masanduku

Kitendo cha kurudia kuhesabu masanduku

Hebu tuweke idadi ya kata zilizochukuliwa kwenye hayo majimbo acha blah blah
 
hassanali arirudia kupitia hizohizo fomu still akashindwa na zungu
 
tuwe wakweli tu sometimes mfano wenje kazidiwa kata 15 kwa 4 unategemea still wenje ashinde ubunge???
 
Ni kweli Jitihada binafsi pia ilihitajika. Heche kwa mfano mpaka saa 4 alikuwa tayari amepata matokeo yote ya vituo.
 
Si aseme hakukubali warudie kuhesabu.....halafu aonyeshe yaliyosainiwa kituoni tu? Sheria bado inambeba kama alishinda akate rufaa mahakama itawarudisha jimboni kupiga ama wanyang'anywe ubunge
 
nINATOA ANGALIZO KWA UKAWA MSIKUBALI KURUDIA KUHESABU KURA. MASANDUKU YANACHAKACHULIWA MARA BAADA YA MAWAKALA KUONDOKA.

TUMIENI FORMU WALIZOJAZA MAWAKALA KWENYE VITUO

WENJE, NA YULE WA MAFINGA, NA KYELA NA WENGINE. MSIDANGANYIKE. TUMIENI KARATASI ZA MAWAKALA KUPATA MTOKEO HALALI. MSIKUBALI KURUDIWA KUHESABU KURA.

CCM WALIPIGA KURA KABLA NA MAFORM MENGI TU YAMEZAGAA YA KURA ZILIZOPIGWA NJE YA VITUO.

HAYO NDIYO YANAYOINGIZWA KWENYE MASANDUKU NA NINYI MNALAZIMISHWA KUHESABU UPYA. KATAENI NA MKOMAE NAO.

TAFADHALI MSIPUUZE.
 
Kama unakubali kurudia kuhesabu kura iwe kwa sharti mbili tu.

1. Kuwe na uhakika ya kwamba idadi ya kura haitozidi walohudhuria kupiga kura. Niligundua mawakala hawahesabu waliohudhuria kwa kila chumba. Walikuwa wanategemea idadi ya kwenye buku la NEC official tu

2. Kila kura anayopewa mpiga kura inaandikwa BVR card namba yake na inabakia kwenye buku la linalotoka karatasi ya kupigia kura. Kwa hiyo kura zote lazima ziwe na uwiano na wapiga kura wa chumba kinachohusika. Japo zoezi hili linachukuwa muda mrefu, lakini ndio njia pekee ya kutoingiziwa kura feki katika sanduku la kura.

Nashauri kama bado hawajachelewa, hawa wote walopigwa bao la mkono katika recount, wakate rufaa na waombe ku proceed na step 2 especially.
 
Siyo nyeti za kuku tu,mkoloni mweusi juu ya kiti cha kubebwa na Wapagazi,alisahau mtemba mdomoni,nilisikitika sana kuona mambo kama yale dunia hii ya leo yanafanyika ndani ya Tanzania.
 
hivi hizi siasa ndio zinatufanya tuitane maandazi.
 
Kwanza Tume ilikwishasema uchaguzi huu hakuna biashara ya kuhamisha mabox ya kura bali yatabakia vituoni na kinachofanya movement ni fomu zilizojazwa kituoni na bahasha ya kura chache kama zitakuwepo ambazo zinaonekana kuzidi au kubishaniwa kwa namna moja au nyingine au labda kuna kitu sikuwa nimeelewa vizuri?

Mabox ya ubunge na urais yanahamishwa wewe kama huna hakika bora unyamaze
 
Hiyo ni kweli kabisa Mdee kashtuka,eti wao wanajifanya karatasi zimepotea
 
Jf habari...!!

Hii SIRI wabunge wengi wa UKAWA hawakushtukia...!!!

UKIRUDIA KUHESABU KURA kupitia mabox, yale mabox unakuta yameshachakachuliwa... sbb yanakuwa chini ya Mkuu wa Mkoa, au Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri...!! So, wanachakachua za UBUNGE pale pale, Ukirudia kuhesabu kupitia mabox, UNASHINDWA HARAKA SANA...!!! NDICHO kilichowakuta WENJE na KIWIA...!!! Pia LUCY wa KIGAMBONI...!!!

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

So, njia pekee ya KURUDIA KUHESABU KURA NI KUPITIA FOMU ZA MAWAKALA TU...!!! Fomu za NEC, zilizo na matokeo kutoka kila KITUO, zina KURA HALALI NA SAINI ZA MAWAKALA WOTE...!!! So ndio njia pekee na sahihi, KUHESABU KURA KWA MARA YA PILI IKIWA MNATAKA KURUDIA.. NI KUTUMIA FOMU TU...!!! sbb FOMU HAIWEZEKANI KUCHAKACHUA...!!!

👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆

Nimeahangaa sana wabunge wengi hadi Nyerere KUKUBALI KURUDIA KUHESABU kura kupitia MABOX KWA
kwa mara ya pili... yale MABOX yako chini ya CCM baada ya kuhesabiwa... so wanachakachua...ukikubali tu KURUDIA KUHESABU KURA KUPITIA MABOX, UKAWA wanaanguka...!!!

Poleni, Wenje, Kiwia, Nyerere, Lucy wa Kigamboni etc...!!!!

Lazima mtumie fomu zenu za matokeo tu kurudia kuhesabu KURA... si vinginevyo...!!!

Ukawa, ni mpango wa Mungu...!!!

Unachokisema kina ukwel ht me nimeshangaa wabunge wazoefu km wenje na kiwia ambao walivuka hichi kihunzi 2010 wamekubali kurudia hesabu,huo ujinga wamemletea Lissu huku sgd wakagonga mwamba huyu jamaa ni technical sn na walimchelewesha makusudi ili asiende kutoa msaada mwanza.
 
Uzushi mwingine haufai. Kiwia hakubalikitena, hata Nyerere pia. Lucy asingefua dafu kwa Dr Ndugulile hiyo iko wazi kabisa. Wenje ilikuwa 50 kwa 50. Acheni kulishana ujinga, tafakarini ni wapi mlipojikwaa mkatubu kwa wananchi.

Hiyo ya wenje nakataa,mimi nakaa jimboni kabisa najua jinsi gani watu wameumia mioyo kudhulumiwa.
 
nINATOA ANGALIZO KWA UKAWA MSIKUBALI KURUDIA KUHESABU KURA. MASANDUKU YANACHAKACHULIWA MARA BAADA YA MAWAKALA KUONDOKA.

TUMIENI FORMU WALIZOJAZA MAWAKALA KWENYE VITUO

WENJE, NA YULE WA MAFINGA, NA KYELA NA WENGINE. MSIDANGANYIKE. TUMIENI KARATASI ZA MAWAKALA KUPATA MTOKEO HALALI. MSIKUBALI KURUDIWA KUHESABU KURA.

CCM WALIPIGA KURA KABLA NA MAFORM MENGI TU YAMEZAGAA YA KURA ZILIZOPIGWA NJE YA VITUO.

HAYO NDIYO YANAYOINGIZWA KWENYE MASANDUKU NA NINYI MNALAZIMISHWA KUHESABU UPYA. KATAENI NA MKOMAE NAO.

TAFADHALI MSIPUUZE.

That's true lkn je CCM nao wakatae kurudia kuhesabu UKAWA watakuwa wana wasiwasi juu ya ushindi wa Ccm? Mi nadhani wawe makini zaidi maana inawezekana ccm wakawa wameshinda kwa kuwanunua mawakala!
 
Kwanza Tume ilikwishasema uchaguzi huu hakuna biashara ya kuhamisha mabox ya kura bali yatabakia vituoni na kinachofanya movement ni fomu zilizojazwa kituoni na bahasha ya kura chache kama zitakuwepo ambazo zinaonekana kuzidi au kubishaniwa kwa namna moja au nyingine au labda kuna kitu sikuwa nimeelewa vizuri?

Mkuu hawa jamaa watakuja na kila sababu baada ya kushindwa. Kura zinahesabiwa mbele ya mawakala, endapo wakala hajaridhika hapo hapo zinarudiwa na kurudiwa na kurudiwa mbele ya mawakala hao hao kabla hazijahamishwa kwenda nje ya eneo la kuesabia. sasa huo uchakachuaji unaingiaje hapo?

Nimeamini kwamba mashabiki wa ukawa kwa asilimia kubwa hasa hapa JF ni NYUMBU ambao hata akili ya kufikiria mambo madogo madogo hawana! hii ni hatari na kama mtazamo wa wana UKAWA ndio reflection yake hii tunayoiona hapa JF basi ni dhahiri kuwapa ridhaa ya kuongoza Serikali ni kuitmbukiza nchi kwenye janga kubwa kwa kizazi cha leo na kesho. Hii inadhihirisha maneno ya JK Nyerere kwamba raisi anaweza kutoka upinzani but rais bora atatoka CCM.
 
Watu ameanza kuzusha sasa, upinzani wa nyamagana ulikuwa unajulikana kwa kila mtu, Ilemela Highness hakuwa na jinsi, ilikuwa ni lazima apumzike. Pengine kwa chadema wangesimamisha mgombea mwingine angeshinda lkn Highness muda wake umeisha amempumzishwa
 
Back
Top Bottom