Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Nimeulizwa swali ambalo nimeshindwa kulitolea majibu. Hivyo nikaonelea nililete hapa JF, na kwa kua naamini hapa jamvini pana vichwa vilivyojaa hekima kwa kila nyanja jibu litapatikana. Swali lenyewe ni hili: inakuwa je watu wawili wenye status zinazo fanana kwa kila kitu ikiwa ni pamoja na uzito, urefu, group ya damu na hata jinsia, wanaugua malaria iliyofikia level moja mfano wa malaria tatu. Wanapewa dozi ya tiba ya uzito sawa, mmoja anapona na wa pili yake anafariki? Wataalamu wa jf tusaidiane kwa hili.