Kitendawili

Magulumangu

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
3,047
455
Jamani nina kitendawili, katika mahakama moja watu watatu walienda, wawili walikuwa wanamlalamikia mmoja kuwa kila waendapo mahali yule jamaa anaingia peke yao na kuwaacha nje wakimsubiri so walitaka hakimu amwambie jamaa kama vipi waingie wote...jamana akaskuti na kutoa jibu la kwamba yeye sio kwamba hataki wote waingie lkn kule aendako kunanuka sana so ili uende lazima uwe na mdomo maana razima utapike....jamani nitegulkieni hiccho kitendawili ni nani hao jamaa??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom