ComputerExpertsTz
Member
- May 4, 2013
- 41
- 4
Ni kijana mdogo, hana miguu lkn anasimama! Hali chakula lkn anatapika! Hana mikono lkn anachapa mtu mpaka analia! Ni mdogo kiumbo lkn hurefuka na kunenepa akifurahi! Ana jicho 1 lkn anaona kwenye giza kuliko mwenye macho2! Anaishi kwenye joto na majani makavu meusi!
Je, Huyu ni nani? nipe (.....)
Je, Huyu ni nani? nipe (.....)