Don Draper
Senior Member
- May 30, 2012
- 176
- 87
Sasa inaonekana Membe ni front runner.... Lowassa inabidi aje na mpya.
Mnakumbuka kamati ya Ulinzi na Usalama ilipoenda Morocco bila kumjulisha Membe?
Mnajua reaction ya Membe ilikuwa ni ipi? Na kweli kama mtu wa intelligence alienda kule kuwanyoosha akina Zungu na Lowassa.....lakini hakuishia hapo:
Kile kitendawili kimejibiwa hapa kwenye hii website :
IKULU BLOG | Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais
Sasa kama mimi ningekuwa ni balozi wa Morocco Tanzania basi ingebidi nitafute plan B maana hii red carpet na ma pomps yote haya naamini ni mambo ya yule alimni wa Johns Hopkins
Lowassa nakushauri uje na strategy nyingine kwani kila kukicha Membe is miles ahead of you.
Mnakumbuka kamati ya Ulinzi na Usalama ilipoenda Morocco bila kumjulisha Membe?
Mnajua reaction ya Membe ilikuwa ni ipi? Na kweli kama mtu wa intelligence alienda kule kuwanyoosha akina Zungu na Lowassa.....lakini hakuishia hapo:
Kile kitendawili kimejibiwa hapa kwenye hii website :
IKULU BLOG | Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais
Sasa kama mimi ningekuwa ni balozi wa Morocco Tanzania basi ingebidi nitafute plan B maana hii red carpet na ma pomps yote haya naamini ni mambo ya yule alimni wa Johns Hopkins
Lowassa nakushauri uje na strategy nyingine kwani kila kukicha Membe is miles ahead of you.