J JokaKuu Platinum Member Joined Jul 31, 2006 Posts 36,967 Reaction score 68,835 Oct 24, 2016 #21 HEKIMA KWANZA said: Hali ikoje sasa? cc JokaKuu Click to expand... ..hapo sitii neno ndugu yangu. ..watadai tunafuata diplomasia ya uchumi. ..sasa tuna tofauti gani na Wakenya ambao walikuwa wanashirikiana na makaburu wa Afrika Kusini?
HEKIMA KWANZA said: Hali ikoje sasa? cc JokaKuu Click to expand... ..hapo sitii neno ndugu yangu. ..watadai tunafuata diplomasia ya uchumi. ..sasa tuna tofauti gani na Wakenya ambao walikuwa wanashirikiana na makaburu wa Afrika Kusini?