Kitanda cha Mninga 6*6 (180,000/=)

Kitanda cha Mninga 6*6 (180,000/=)

Kafiti

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
538
Reaction score
220
Kitanda cha 6*6 cha mninga kinauzwa , kipo kwenye hali nzuri.
Kimetumika mwaka na nusu.

Kipo na Chaga zake(Pia chaga zake ni mninga).
Muuzaji anahitaji hela ya haraka.

-0684 14 14 76
Kipo Dar-es-Salaam , picha utatumiwa(Nimeshindwa kuweka hapa).
 
Ule utafiti ya kwamba "Kunguni hawasikii dawa" hapa pia unajidhihirisha?
 
Back
Top Bottom