Kafiti JF-Expert Member Joined Mar 27, 2011 Posts 538 Reaction score 220 Feb 1, 2016 #1 Kitanda cha 6*6 cha mninga kinauzwa , kipo kwenye hali nzuri. Kimetumika mwaka na nusu. Kipo na Chaga zake(Pia chaga zake ni mninga). Muuzaji anahitaji hela ya haraka. -0684 14 14 76 Kipo Dar-es-Salaam , picha utatumiwa(Nimeshindwa kuweka hapa).
Kitanda cha 6*6 cha mninga kinauzwa , kipo kwenye hali nzuri. Kimetumika mwaka na nusu. Kipo na Chaga zake(Pia chaga zake ni mninga). Muuzaji anahitaji hela ya haraka. -0684 14 14 76 Kipo Dar-es-Salaam , picha utatumiwa(Nimeshindwa kuweka hapa).
Naby Keita JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 12,891 Reaction score 20,130 Feb 1, 2016 #2 Aroo kinatufaa wa shoo za kibabe
Azathioprine JF-Expert Member Joined Sep 16, 2013 Posts 588 Reaction score 379 Feb 1, 2016 #3 Ule utafiti ya kwamba "Kunguni hawasikii dawa" hapa pia unajidhihirisha?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,884 Reaction score 845,777 Feb 1, 2016 #4 kinga666 said: Ule utafiti ya kwamba "Kunguni hawasikii dawa" hapa pia unajidhihirisha? Click to expand... utaharibu biashara ya mtu
kinga666 said: Ule utafiti ya kwamba "Kunguni hawasikii dawa" hapa pia unajidhihirisha? Click to expand... utaharibu biashara ya mtu
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 365,884 Reaction score 845,777 Feb 1, 2016 #5 kejof2 said: Aroo kinatufaa wa shoo za kibabe Click to expand... Mamiss bantu