mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Inawezekana mkuu.Huwezi jua nyuma ya pazia marekani haipo pale kwa bahati mbaya
Huyu Trump wkt wenzake wanaenda kwny vita ya Vietnam yeye alijifanya mgonjwa wa mifupa "akarara mbere kwa mbere",hakwenda wala nini.Cheki mwenzake Putin mamamae hatariiiii sana.
Sijui Patriotism anayoisemaga anaipata wapi,hata wkt wa kufanyiwa briefing na CIA,FBI wanajua kabisa huyu ni zuzu tu hajui kitu khs inshu za usalama.