KITAKACHOTOKEA MUHIMBILI NINATABIRI KITAKUWA HIVI........

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,319
33,125
KITAKACHOTOKE MUHIMBILI.jpg


Msikurupuke kwa kila jambo vingine fanyieni kwanza utafiti...
Maana kwa style hii mnatupeleka pabaya aisee...!!!
 
Kama me nkiumwaga nataka sili kingine zaidi ya ndizi kikojozi.afu kujiuliza watu elf8 waliopo muhimbili kila1 akupe oda ya anachotaka asubuhi mchana na jioni c mtadata mje kuwapa wagonjwa wa sukari viazi vitam muue
 
Mnadhani madaktari hawajui balanced or recomended diet??

Nchi haiwezi kuendeshwa na katuni bali utaalamu
 
Back
Top Bottom