barikiwa
Senior Member
- Dec 4, 2018
- 145
- 263
Dunia ipo mamilioni na mamilioni ya miaka haijawahi kulindwa na mwanadamu leo eti igongane na jiwe!!!....aliyeiumba dunia hakuwa mjinga kuweka hayo mawe na dunia yetu alijua kbs jinsi gani yatapishana angani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba dunia itaharibika moja kwa moja, hapana bali viumbe vilivyoki ndani yake ndiyo vitapotezwa ili kuleta kizazi kingine kipya