kalipeni
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 1,533
- 1,242
apophis asteroid iligunduliwa 2004 na ndio iyo habari ya iyo asteroid kuipiga dunia zilipozuka lakini kwa uchunguzi uliofanywa na torino impact hazard scale 2013 umegundua uwezekano wa apophis kuiangukia dunia na kuleta madhara ni asilimia 2.7 tu.