kitakacho mpa ushindi lowasa hiki apa

kitakacho mpa ushindi lowasa hiki apa

Bado atuwez kutabir nan mshindi mpaka xaxa ila ushindan utakuwa mkal sana Ccm wana mbinu zao lowasa nae Ana mbinu yake
 
jF imejaa wapuuzi WA ukawa. Maoni wanayotoa ni yakitoto na yakufikirika.
 
Kwa maana hiyo nani atakuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni kutoka ccm.
 
Sina chama ila upepo wa lowasa unatisha
 
Labda viji vya huko kwenu, lakini wananchi wengi wanaelewa sana, na wapo kimya kwa kuwasikiliza majukwaani, hizi kelele ni za Jf, wanadhani wapo wengi sana.

angesema magufuli anakubalika vijijini ungesema haya? Subiri tafiti za Redet tu ndo matumaini yako
 
Labda viji vya huko kwenu, lakini wananchi wengi wanaelewa sana, na wapo kimya kwa kuwasikiliza majukwaani, hizi kelele ni za Jf, wanadhani wapo wengi sana.

Watu wote wanajitambua kwa sasa hata wewe huipendi ccm sema upo huko kimasilahi tu. Sikuwahi kuona watu wa vijijini wakichana na kuchoma kadi za ccm ndiyo imetokea kwa mara ya kwanza. Ccm hamna pa kutokea mwaka huu ni wa mabadiriko.
 
Kitu kingine kitakachomfanya Lowassa achaguliwe na watu wa vijijini ni uzuri wa sura,kwani watu wa vijijini zaidi ya kuangalia chama huwa wanamchagua mtu anaevutia kwa sura kwa hiyo bwana Pombe atasubiri kipindi cha usiku ambacho sura yake inakuwaga nzuri ili achaguliwe.
 
ushauri kwa ccm:lowasa sio wa kupuuzwa ata kidogo
 
ccm, tuwe makini na lowasa, upepo wake sio mchezo
 
kuna watu wengi hatuna vyama,tunachosema ni jinsi mambo yalivyo kwa sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom