Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
Mjibu kuwa ulipita vidatoHahahahahahahah mkuu ujue hili swali gumu Sana, Sasa sijui nikujibuje?
Mjibu kuwa ulipita vidatoHahahahahahahah mkuu ujue hili swali gumu Sana, Sasa sijui nikujibuje?
Sure mkuu kinaleta hamasa kwelikweliNinacho hiki kitabu, hakika ni moja ya kitabu bora kabisa nilichowahi kukisoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjibu vizuriNdgu sitaki kuamini kwamba ndo uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo
Huu ni uwongo mkubwa -- mimi nimetoka kusoma cha Andrew Carnegie kilicho fasiriwa katika kiswahili ... Mkuu nasema hivi Hao wazungu acha tu waendelee kufanikiwa ... wana akili nyingi Sana "hivyo vitabu haviapply afrika vimetengenezwa kwa ajil ya kutumika ulaya kwa wazungu
Nko na audiobooks ya "think and grow rich"
Kweli Kaka hakikaHuu ni uwongo mkubwa -- mimi nimetoka kusoma cha Andrew Carnegie kilicho fasiriwa katika kiswahili ... Mkuu nasema hivi Hao wazungu acha tu waendelee kufanikiwa ... wana akili nyingi Sana "
Sent using Jamii Forums mobile app
Keep on rereading brother. And while rereading, remember the wise words of this writer "Ndgu sitaki kuamini kwamba ndo uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo
Mkuu Ahsante Sana kwa kunikumbusha hizi mistari za huyu nguliKeep on rereading brother. And while rereading, remember the wise words of this writer "
Practical prayer is harder on the soles of your shoes than on the knees of your trousers"
NAKALA YA KITABU HIKI THINK & GROW RICH (FIKIRI & UTAJIRIKE) KINAPATIKANA PIA KWA LUGHA YA KISHWAHILI MWANZO MPAKA MWISHO WA KITABU, KWA URAHISI ZAIDI MTU UNAWEZA UKAKIDOWNLOAD KUPITIA SIMU YAKO YA SMARTPHONE KUTOKA KATIKA MTANDAO MMOJA TANZANIA UNAOUZA VITABU VYA KIELEKTRONIKI(GETVALUE)
Usisome sana kwa mfano kama mimi kwa siku nasoma pages 50 asubuh najitahidi nasoma 25 na jioni 25 ila kuna kipindi inafika nakaa mwezi mpaka week sijasoma hata page moja maisha ya bongo na kusoma vitabu ngumu sana ila pambana hvyo hvyo mkuu.hivi unawezaje kusoma vitabu 20 vya kiingereza na kuvielewa maana Mimi nasoma tu introduction basi maana vinanichosha wala sielewi yaani. Nipeni Mbinu wakuu mm ni team msukuma
Sawa MkuuUsisome sana kwa mfano kama mimi kwa siku nasoma pages 50 asubuh najitahidi nasoma 25 na jioni 25 ila kuna kipindi inafika nakaa mwezi mpaka week sijasoma hata page moja maisha ya bongo na kusoma vitabu ngumu sana ila pambana hvyo hvyo mkuu.
Download ipo mtandaoni andika jina la kitabu litakuja ni kama unavyo download nyimbo tu.Wakuu kama kuna mwenye soft copy ya think and grow rich naiomba tafadhali
Mbinu pekee bora ya kusoma kitabu mfano wa hiki cha THINK & GROW RICH nakala ya kiingereza ukakielewa barabara, kwa kuwa wakati mwingine lugha iliyotumika ni kiingereza cha miaka ya '47' ni ile mbinu ya kurudiarudia kukisoma. Unaweza hata ukakirudia mara 2 mpaka 3 huku 'ukinote' maneno magumu na kuyatafutia maana zake kwenye kamusi. Unaweza pia kukisikiliza kama audio baada ya kukisoma. Binafsi sisi wakati wa kukitafsiri kitabu hiki kwenda katika lugha ya kiswahili tulizitumia sana mchanganyiko wa mbinu kama hizi. Kikisha kukaa kichwani utaona ni kitabu cha kawaida tu kama vilivyo vitabu vingine rahisi kusoma.hivi unawezaje kusoma vitabu 20 vya kiingereza na kuvielewa maana Mimi nasoma tu introduction basi maana vinanichosha wala sielewi yaani. Nipeni Mbinu wakuu mm ni team msukuma