Kitabu: New World Order - Uchambuzi

Kitabu: New World Order - Uchambuzi

Jua unaweza kuliabudu kama tunavyo muabudu Mungu ili likutimizie haja zako naomba kujua zaidi hapa
 
Kitabu.New World Order

Mwandishi.Ralph Epperson

Mchambuzi.Nanyaro EJ



Chapter 8 The Author's Clarification

Mwandishi anasema kuwa ni muhimu wasomaji wakamwelewa yeye binafsi ili iwe rahisi kuelewa maandishi/kitabu chake.Anasema yeye ni msomi mzuri wa historia ya Dunia na Ulimwengu.Kwa hiyo kitabu hiki amekiandika kama mwanaHistoria,bada ya kufanya utafiti wa kina na kwa kutumia mandishi ya watu wengine kama rejea.Licha ya ukweli kuwa yeye ni Mkristo lakini hajaruhusu Imani yake kuingilia kazi yake ya uandishi,pale ambako ametumia misahafu ni kwa misingi ya rejea tu!.Anasema kama mwana historia wa muda mredu amekuta matukio ya kihistoria hayatokei tu kwa bahati mbaya bali ni mambo/matukio yaliyopangwa mfano wa picha za mnato,wapangaji wakitumia ustadi na weledi wa hali ya juu sana

Katika kufichua yaliyofichwa anafanya hivo kama Mwandishi wa Historia na si kama mwandishi wa Dini/Imani.



Chapter 9 Lucifer Worship

Mwandishi anasema kuwa katika vitabu vitakatifu hiki kiumbe kimeandikwa sana kwa majina tofauti,kuna mahali ameitwa Lusifa,au shetani au mwovu .Kwenye vitabu vitakatifu anaelezewa kama malaika aliyeasi na kutupwa chini kutokea mbinguni,amekuwa ndio mwaribifu wa watu.

Mwandishi anasema kwa misingi ya kiimani Lusifa ndie alisababisha majanga ya Dunia baada ya kumlaghai Eva/Hawa pale kwenye bustani ya Eden,hadi wakala tunda la mti wa uzima(mti wa kati kati)ambao walikuwa wamekatazwa na Mwenyenzi Mungu.Ulaji wa tunda hili ndio mwanzo wa kifo/mauti kwa binadamu.Kwa mujibu wa maandishi ya Masonia shetani ni mungu wakati kwa watu wengine ambao sio masonia,wanaamini shetani ni malaika aliyeasi,masonia wanaamini Lusifa ni mungu mwema

Hivo basi alama kwenye Lodge(lodge ndio sehemu ya ibada ya masonia) ni alama za Lusifa na zenye lengo la kumtukuza Lusifa,ni bila shaka kuwa Masonia wanamwabudu Lusifa,wengi wa masonia hawajui ukweli huu kwa kuwa unafichwa sana,na wengi wanafuata mkumbo tu,kimsingi jamii hizi msingi mkuu ni siri na kubadili picha!kwao Lusifa ni kielelezo cha mabadiliko makubwa ya kibinadamu kuelekea kwenye ugunduzi mkubwa katika Nyanja zote.Masoni wanaamini kuwa Lusifa alivomjaribu Eva pale bustani ya Edeni ndio ulikuwa mwanzo wa hekima,ufahamu,maarifa na weledi wa binadamu,kwa kuwa pale ndio alijua mambo yote,ndio alifunguliwa matongotongo,kama sio Lusifa pengine binadamu angekuwa pale pale Eden akiwa hajui mema wala mabaya

Mwandishi anahitimisha kwa kusema kuwa ndio maana masonia wameweka mkazo mkubwa kwenye mambo ya maisha ya kawaida,ikiwa ni pamoja na kudanganya watu kuwa huko kuna utajiri wakati kimsingi ni michango tu ya wanachama kwa lengo la kuongeza kukubalika kwao kwa jamii…yaani fedha na ahadi nyingine ni kama mtego tu ila hakuna la ziada
 
Kitabu.New World Order

Mwandishi.Ralph Epperson

Mchambuzi.Nanyaro EJ



Chapter 8 The Author's Clarification

Mwandishi anasema kuwa ni muhimu wasomaji wakamwelewa yeye binafsi ili iwe rahisi kuelewa maandishi/kitabu chake.Anasema yeye ni msomi mzuri wa historia ya Dunia na Ulimwengu.Kwa hiyo kitabu hiki amekiandika kama mwanaHistoria,bada ya kufanya utafiti wa kina na kwa kutumia mandishi ya watu wengine kama rejea.Licha ya ukweli kuwa yeye ni Mkristo lakini hajaruhusu Imani yake kuingilia kazi yake ya uandishi,pale ambako ametumia misahafu ni kwa misingi ya rejea tu!.Anasema kama mwana historia wa muda mredu amekuta matukio ya kihistoria hayatokei tu kwa bahati mbaya bali ni mambo/matukio yaliyopangwa mfano wa picha za mnato,wapangaji wakitumia ustadi na weledi wa hali ya juu sana

Katika kufichua yaliyofichwa anafanya hivo kama Mwandishi wa Historia na si kama mwandishi wa Dini/Imani.



Chapter 9 Lucifer Worship

Mwandishi anasema kuwa katika vitabu vitakatifu hiki kiumbe kimeandikwa sana kwa majina tofauti,kuna mahali ameitwa Lusifa,au shetani au mwovu .Kwenye vitabu vitakatifu anaelezewa kama malaika aliyeasi na kutupwa chini kutokea mbinguni,amekuwa ndio mwaribifu wa watu.

Mwandishi anasema kwa misingi ya kiimani Lusifa ndie alisababisha majanga ya Dunia baada ya kumlaghai Eva/Hawa pale kwenye bustani ya Eden,hadi wakala tunda la mti wa uzima(mti wa kati kati)ambao walikuwa wamekatazwa na Mwenyenzi Mungu.Ulaji wa tunda hili ndio mwanzo wa kifo/mauti kwa binadamu.Kwa mujibu wa maandishi ya Masonia shetani ni mungu wakati kwa watu wengine ambao sio masonia,wanaamini shetani ni malaika aliyeasi,masonia wanaamini Lusifa ni mungu mwema

Hivo basi alama kwenye Lodge(lodge ndio sehemu ya ibada ya masonia) ni alama za Lusifa na zenye lengo la kumtukuza Lusifa,ni bila shaka kuwa Masonia wanamwabudu Lusifa,wengi wa masonia hawajui ukweli huu kwa kuwa unafichwa sana,na wengi wanafuata mkumbo tu,kimsingi jamii hizi msingi mkuu ni siri na kubadili picha!kwao Lusifa ni kielelezo cha mabadiliko makubwa ya kibinadamu kuelekea kwenye ugunduzi mkubwa katika Nyanja zote.Masoni wanaamini kuwa Lusifa alivomjaribu Eva pale bustani ya Edeni ndio ulikuwa mwanzo wa hekima,ufahamu,maarifa na weledi wa binadamu,kwa kuwa pale ndio alijua mambo yote,ndio alifunguliwa matongotongo,kama sio Lusifa pengine binadamu angekuwa pale pale Eden akiwa hajui mema wala mabaya

Mwandishi anahitimisha kwa kusema kuwa ndio maana masonia wameweka mkazo mkubwa kwenye mambo ya maisha ya kawaida,ikiwa ni pamoja na kudanganya watu kuwa huko kuna utajiri wakati kimsingi ni michango tu ya wanachama kwa lengo la kuongeza kukubalika kwao kwa jamii…yaani fedha na ahadi nyingine ni kama mtego tu ila hakuna la ziada
iendelee

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kitabu.New World Order

Mwandishi.Ralph Epperson

Mchambuzi .Nanyaro EJ

Chapter 10 Becoming a God




Mwandishi anaanza chapter hii kwa kuuliza swali muhimu,Je nini basi Masonia hutoa kwa wafuasi wao?kama tulivoona hapo nyuma wafuasi huadiwa maarifa na weledi wa kuwa kama mungu,kama vile tu Lusifa alivowaahidi Adam/Eva kuwa watajua uzuri na ubaya kwa kula tunda la katikati,ni watu wa ahadi na kujengea watu matamanio;Baada ya Lusifa kuangushwa chini kutoka Mbinguni alikuja na nguvu za kufikirika,mara kadhaa hutumia uwezo huo ili kuhadaa ulimwengu

Masonia ni kizazi cha kuhoji,na wanahoji kila jambo,ndio maana wanahitimisha kuwa hakuna Mungu kwa kuwa wameshindwa kumdhibitisha.Wanaamini kuwa ni muhimu kufikiri na kuhoji kuliko kuamini

Masonry has deified reason, the ability of man to make his own decisions in all of his affairs without concern of the moral absolutes imparted by the God of the Bible. No one would be impudent enough to suggest that man not use his mind at all. What these New Agers, Masons, Humanists, and members of the Illuminati are saying is that they wish to use the mind exclusively. That means, for those who believe that there is no God, man can have "the knowledge of good and evil," and make up his own moral code as

CHAPTER 11 SONS OF LIGHT

Adam Weishaupt, huyu ndio mwasisi wa Illuminant na alimaanisha (The Illuminated Ones) mwaka 1778 alinukuliwa akisema "Let there be light, and there shall be light." Hizi jamii zote za siri zinajitanabaisha kama watoto wa NURU ambao hata watoto wa GIZA wanawakubali….hii dhana lengo kuu ni kuendelea kuhadaa binadamu kwa lengo la kupata uungwaji mkono wa kutosha.Yeyote anayepinga Umasonia huitwa mtoto wa gizani au mtu ambaye hajastaarabika,ndio kusema wao wanajiona ndio binadamu aliyestaarabika na wengine wapo gizani,

Msingi mkuu wa kuamini katika NURU ni kwa kuzingatia hasa NGUVU kuu iliyo NURUNI,imeandikwa kuwa baada ya Dunia kuumbwa ilikuwa ukiwa na utupu na giza.Mwenyenzi Mungu akasema iwe Nuru ikawa…Nuru ni kielelezo cha ukuu na ustaarabu,hivo nao wanacheza na akili za binadamu,kutokana na uelewa wao wa mambo

Kwenye mfumo na muundo wa Masonia NURU ni alama/ishara muhimu sana(Rejea sifa ya Masonia ni kutambua alama na ishara za mbalimbali na kujifunza maana yake) Msingi mkuu wa umuhimu wa Nuru ni kutokana na falsafa kuwa Daima Nuru hulishinda giza

"... Light will finally overcome Darkness."

Kwa mujibu wa Mwandishi na Masonia wa ngazi ya 33 Albert Pike ameadika kuwa Lusifa ndio chanzo cha Nuru na yeyote asiyemfuata Lusifa yupo gizani.
[
 
Kitabu.New World Order
Mwandishi.Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ

Chapter 13 The Pyramid of Giza
Mwandishi anasema kuwa Masonia wanakubaliana kabisa na Wamisiri kuwa Osiris alikuwa mungu(Osiris ni miongoni mwa miungu ya wamisiri) ambaye ni mungu jua,ambaye kwa baadhi ya wamisiri wanaamini kuwa yale Piramid ni mahekalu yaliyojengwa kwa amri ya Osiris…zinaitwa Pyramid of Gizeh inatamkwa Giza.Itakumbukwa kuwa watawala wa Misri maarufu kama Farao walikuwa na miungu kadhaa,waliyoiamini na inaaminika kuwa Farao wa aliyejenga Piramid alijenga kwa maelekezo ya mungu Osiris
Kwa mujibu wa watafiti mbalimbali kuhusu Piramid za Misiri,wanakubaliana kuwa ujenzi wake ulikuwa wa akili ya hali ya juu,ni moja ya uhandisi maridadi kabisa kufanywa na binadamu,na ndani ya Pramid kuna matumizi kadhaa,ikiwepo ibada,korido pana ya inchi 6000,kaburi etc lina mita 30 chini.Kimsingi kuna jamii mbalimbali za Dunia ambazo huenda kufanya ibada kwenye hizi Pramid(Pramid ni moja ya eneo linalopokea watalii wengi sana Africa) wengi huenda kama kutalii lakini ni sehemu ya ibada na ibada hizi zimeanza miaka mingi…zaidi ya miaka elfu sita
Mwandishi anasema kwa msingi huu sio kweli kuwa Pramid zilijengwa kwa misngi ya kuzika (makaburi)kama ambavyo imekuwa ikielezewa na watu wengi.Kuna uhusiano mkuwa wa Ibada za miungu,hasa mungu jua na New Agers,eitha ndani kabisa under ground kuna chamber maarufu ambayo huitwa Kings chambers na Queen Chamber hizi chamber zimewekewa Ventilator kwa ajili ya kuruhusu hewa
Chapter 14 Obelisks
Mwandishi anasema kuwa OBELISKS ni jiwe/mwamba mkubwaa wenye pembe nne,mfano wa mnara mkubwa kwa sasa upo unaitwa Washington Monument,wa pili ni Central park New York)ulihamishiwa kutoka Misiri mwaka 1831)wa tatu upo Vatican ambao Papa huelekea hapo wakati akihutubia(Lazima akae kuelekea mnara uliko)na wanne upo Alexandria Misiri.Rejea kila alama/ishara ina maana kubwa kwa masonia tumeona kuwa jua na nyota ni mojawapo ya alama takatifu kwao.Hivo basi kwa masonia wanaamini kuwa OBELISKS ni kiwakilishi cha mungu jua ambaye huabudiwa na wamisri na wao masonia huabudu jua kwa kuwa jua ni chazo cha Nuru na Nuru ni chanzo cha hekima na maarifa
Mwandishi anasema mnara wa Washington Monument ulijengwa kumuenzi Rais wa kwanza wa USA George Washington ambaye alikuwa active member wa Masonia na aliyetoa mchango mkubwa sana kwa jamii za siri.Mnara huu una urefu wa miguu 555.Ujenzi wake ulianza mwaka 1833 na kukamilika 1848,jumla ya paundi za capstone 3300 zilitumika kukamilisha namba 33 ambayo ndio namba ya juu kabisa ya Masonia.Wakati wa Ujenzi watu mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali walichangia ujenzi wake na walitoa mawe ya kumbukumbu(Mfano wa ile dhahabu ya malikia wa Sheba aliyompa Mfalme Suleiman)au ( Tausi ambao wastaafu wamepewa ni aina ya ndege wa ukumbusho/kumbukumbu) sasa basi Zaidi ya jamii 188 zilichangia mawe ya kumbukumbu na jamii 33 kati ya hizo zilikuwa jamii za siri za Masonia,ndio kusema wanatoa hela mfuko wa kulia wanahamishia kushoto….namba 33 inajitokeza tena hapo
Mwandishi anasema kuwa gharama ya ujenzi huu nayo iliakisi tena namba ya Masonia namba 13..ujenzi uligharimu usd 1,300,000(rejea ni mwaka 1848 ndio ujenzi ulikamilika,ni fedha nyingi hata kwa dunia ya leo) mnara huu una madirisha nane,mawili kila upande,madirisha sita yana ukubwa sawa ila dirisha namba saba na namba nane ambalo linatazama Mashariki ni makubwa Zaidi,kumbuka kuwa Masonia huamini kuwa mungu wao wanamwita Master huketi Mashariki hivo upande wa mashariki ni upande takatifu kwao.
Namba 13 ni moja ya alama muhimu sana kwa Masonia….namba ya Uasi (kwenye hotel nyingi za nyota tano huwa hakuna chumba chenye namba 13,maana inaaminika ni namba ya uasi,namba isiyokuwa na bahati,namba ya balaa na mikosi)
Kwa ujumla Mnara wa Washington una alama nyingi za namba na vielelezo ambavo vinadhibitiha kuwa ni mnara wa masonia.
Kimsingi hizi Obelsks zinaaminiwa kuwa watu wa kale hasa Misri ya kale ambayo ni moja ya kielelezo cha ustaarabu wa binadamu walikuwa wanamahusiano ya kiibada na miungo hii,hivo masonia wa leo wanaji attach nao.(kuna baadhi ya jamii Tanzania humwita mtoto jina la mtu aliyefanikiwa wakiamini na yeye atafanikiwa,wanafanya attachment)
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    9.4 KB · Views: 24
Naona jamaa kaamua kukusanya nadharia njama (conspiracy theories) kadhaa na kuandika kitabu.
Tuassume haujui kusoma na kuandika. Hivi yanayoendelea hauyaoni......?!

Wanawake kuwa viburi, watoto wa kike kutumia sana P2, nenda hospitali kawaulize madaktari wakwambie wanayoyaona katika vipimo vya vizazi huko.

Maadili kumomonyoka, ushoga, watoto wa kiume wasiojielewa wanataka walelewe. Viongozi vilaza.... Haya yote haushituki tu bado
 
Tuassume haujui kusoma na kuandika. Hivi yanayoendelea hauyaoni......?!

Wanawake kuwa viburi, watoto wa kike kutumia sana P2, nenda hospitali kawaulize madaktari wakwambie wanayoyaona katika vipimo vya vizazi huko.

Maadili kumomonyoka, ushoga, watoto wa kiume wasiojielewa wanataka walelewe. Viongozi vilaza.... Haya yote haushituki tu bado
Hayo yote yapo na nayafahamu, lakini lazima tujue mambo yanabadilika kutokana na mazingira binaadamu hatuko static.
 
Hawa Freemanson wanaamini katika kiumbe kinachoitwa "supreme being"
 
Halafu kwanini kwenye nyumba zote za ibada, misikitini na makanisa ya Roma na KKT pamoja na majengo yao freemason kuna viminara fulani ambayo wengine huita ni uume wa Nimrod.
 
Nanyaro: Kitabu.New World Order
Mwandishi.Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ

Chapter 15 The Illuminati

Mwandishi anasema kuwa kumekuwa na minongono kutoka kwa viongozi wakubwa wa Dunia,kuwa kuna watu wanaopanga kuleta majanga duniani.Miongoni mwa watu hao ni aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Sir Churchil,alinukuliwa akisema kuwa toka enzi za Karl Marx,hadi zama za Emma Goldman Dunia imeshuhudia ukuaji wa kasi wa makundi ambayo yanalenga kuharibu Ulimwengu kwa kisingizio cha Ustaarabu
Churchil alihusisha Ujamaa na mapinduzi maarufu ya ufaransa na Illuminant ambao anaamini walitumia vita ya ujamaa kueneza Imani yao huku wakifanya mapinduzi ya Ufaransa kwa malengo yao,Churchil anawaweka Adam Weishaupt mwasisi wa Illuminant,Karl Marx mwasisi wa ujamaa,Trotsky moja wa viongozi wakubwa walioshiriki mapinduzi ya kijamaa ya Urusi 1917,Rosa Luxembourg na Emma Goldman wanamapinduzi katika kapu moja na kwa nyakati tofauti karibia miaka 140 wamekuwa wakifanya mission mmoja kila misheni ikitekelezwa kutokana na uhitaji wa wakati husika.Churchil anahitimisha kuwa wote hawa lengo lao kuu ni NEW WORLD ORDER
Mwandishia anasema kuwa utakumbuka kuwa lengo kuu ni kutawala Dunia na ili wafanikiwe lazima waharibu utaratibu wote wa Ibada za Mwenyenzi Mungu,waharibu tawala za serikali halali na kuharibu maisha binafsi,yaani wanapanda kwa kushusha wengine…hii ndio kanuni kuu
"The true purpose of the Order was to rule the world. "One must speak sometimes one way and some- times another ... so that, with respect to our true line of thinking, we may be impenetrable." Ndio kusema huko kwa Masonia kusema uongo kunakubalika
"I bind myself to perpetual silence and unshaken loyalty and submission to the Order ...." kwa kuwa sasa wataitawala Dunia kila mwanachama wao nae atakuwa mtawala,kila Illuminant anajiona mtawala
Miaka hiyo ya nyuma Bwana mmoja alimwandikia barua Rais Washington akimtahadharisha kuhusu hizi jamii za siri ambazo zinajipenyeza kwa siri kwenye serikali yake,haya ni majibu ya Washington
"It was not my intention to doubt that the doctrines of the Illuminati, and principles of Jacobinism, had not spread in the United States. On the contrary, no one is more fully satisfied of this fact than I am. The idea that I meant to convey was that I did not believe that the Lodges of Free- masons in this country had, as societies, endeavored to propagate the diabolical [defined as being of the devil] tenets of [the Illuminati.] That individuals of them may have done it, or that the founder ... may have had these objects ~ and actually, in my view, had a separation of the people from their government, is too evident to be questioned. I believe ... that none of the Lodges in this country are contaminated with the principles ascribed to the society of the Illuminati."
Kwenye majibu utaona kuwa Rais Washington alikuwa anajua uwepo wa Illuminant huko USA,na tunaona pia akitamka kuhusu ibada za kishetani


Nanyaro: Kitabu.New World Order
Mwandishi.Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ

Chapter 16 Karl Marx, Satanist


Mwandishi anasema kuwa kuna matukio makubwa kama Vita,mifumuko ya bei na depression ambayo wanahistoria na waandishi wengi wamekuwa wakiyaelezea kama matukio ya asili tu,yaani accidental school of history sasa yeye mwandishi anataka tuitazame historian a matukio yake kwa jicho la tatu yaani Con- spiratorial View of History. Kwa mtazamo huu wa jicho la tatu kila kitu hutokea kwa kupangwa (yaani by design)kuanzia mifumuko ya bei,depressions,vita,na mapunduzi ya serikali mbalimbali.Miongoni mwa binadamu ambao wametengeneza matukio makubwa ni huyu anayeitwa Karl Marx baba wa ujamaa,ambaye alizaliwa katika familia ya kidini sana,dini ya kiyahudi na siku chache kabla ya kuzaliwa familia yake iliamua kuwa ya Kikirsto,na Karl Marx alibatizwa kwenye Upentekosnte.Kazi ya kwanza ya uandishi ya Marx iliitwa
"The Union of the Faithful With Christ
"Through love of Christ we turn our hearts at the same time toward our brethren who are inwardly bound to us and whom He gave Himself in sacrifice na muda mfupi baadae aliandika shairi hili "The Pale Maiden:"
"Thus heaven I've forfeited. I know it full well. My soul, once true to God, Is chosen for hell." Marafiki wa Marx wakaanza kupata wasiwasi na maandishi mawili yanayokinzana kutoka kwa mtu mmoja tena kwa muda mfupi,baadae Karl Marx alikuja kuandika hivi "We must war against all prevailing ideas of reli- gion, of the state, of country, of patriotism. The idea of God is the keynote of a perverted civilization. It must be destroyed.Baada ya hapa Marx akaanza kutoa maandishi mengi ya kukosoa hata umoja wa kifamilia ("Abolition of the family)kuonyesha kuwa alikuwa anamaanisha kauli na maandishi yake,uchungu wake ukaanza kuleta shida kwenye familia yake,hata watoto wake mmoja alikufa kwa utapiamlo,na matatizo mengine mengi ambayo hata hivo Karl Marx hakujali
Wanahistoria wamekujan kugundua kuwa Rafiki wa Max Bwana Mikhail Bakunin, ambaye alinukuliwa akisema kuwa "Satan is the first free-thinker and Saviour of the world. He frees Adam and impresses the seal of hu- manity and liberty on his forehead, by making him disobedient." Ndie aliyemharibu Karl Marx kwa haya mafundisho yake ya kishetani….na yalimwingia karl Marx kisawasawa.Kuanzia hapo Marx akawa mfuasi anayempinga Mungu muumbaji,ingawa wote wanakubali UWEPO wa Mungu lakini wanapinga sana Ukuu wake
"Our enemy is God. Hatred of God is the beginning of wisdom." Huu ndio mtazamo na imani ya Wajamaa wengi wakiongozwa na Marx pamoja na Lenin ambaye nae kama Karl Marx alizazliwa katika familia ya kidini ya Orthodox ila akiwa na miaka 18 alianza kusoma maandishi ya Karl Marx ambayo yalimbadilisha kabisa kimtazamo na alikuliwa akisema"Atheism is an integral part of Marxism. Marxism is materialism. We must combat religion. "We, of course, say that we do not believe in God. We do not believe in eternal morality. That is moral that serves the destruction of the old society. "Everything is moral which is necessary for the annihilation of the old exploiting social order."We must combat religion. Down with religion. Long live atheism. The spread of atheism is our chief task. Communism abolishes eternal truths. It abolishes all religion and morality."
Mwandishi anahitimisha kwa kusema kuwa kwenye kueneza Umaxism nchini Urusi uligharimu maisha ya watu Zaidi ya 45mil na nchini China Zaidi ya 60mil
 
Kitabu.New World Order
Mwandishi. Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ

Chapter 17 Adolph Hitler, Satanist

Mtu mwingne ambaye alikuwa mwanchama wa jamii za Siri ni Fashisti Adolf Hitler,alijiunga na jamii ya siri iliyokuwa inaitwa THULE SOCIETY,Hii society ilikuwa mwanachama wa society nyingine ya siri huko Ujerumani.Hawa ndio walishiriki kuunda chama cha Nazi na kuhakikisha kuwa wanaweka watu wao kuwa viongozi.Hii society ilikuwa na kamati maalum iliyoitwa inner core ambayo ilikuwa na wanachama 33 sawa na namba ya masonia,hawa ndio walikuwa na nguvu na veto ya maamuzi na wote walikuwa waabudu Lusifa
Matendo ya Hitler ,tamaa yake ya kutawala dunia kwa amri zake tu,pamoja na alama/bendera ya chama cha NAZI zote ni ushaidi wa kutosha kuwa walikuwa wanachama wa Masonia,inaaminika kuwa Hitler alifikia ngazi ya juu ya kutambua siri ndio maana alikuwa msitari wa mbele kuhakikisha kuwa NWO inafanikiwa
Ndio kusema kuwa vita ya pili ya Dunia haikutokea kwa bahati mbaya au kama ajali bali ni misheni kuelekea kwenye New World Order
 
Kitabu.New World Order
Mwandishi.Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ

CHAPTER 18 THE GREAT SEAL

Mwandishi anasema kuwa hizi jamii za siri ziliamua kuwa ardhi ya USA iwe eneo lao la Kimkakati,kuanzia karne ya 17,na watu wa kwanza kutoka Ulaya kufika USA walikuwa wanatoka kwenye jamii zao,na waasisi wapya wa Taifa la USA akiwepo Benjamin Franklin ni masonia.Benjamini alinukuliwa akisema kuwa….."Not only were many of the founders of the United States Government Masons, but they received aid from a secret and august body existing in Europe [the IIluminati?] which helped them to establish this country for a particular purpose known only to the initiated few."

Mwandishi anasema kuwa wakati wakiunda Taifa la USA waliunda Taifa la mfano kwa malengo maalum,katiba na tamko la Haki za binadamu ni moja ya document bora kabisa kutengenezwa na binadamu,ila ilitengenezwa kimkakati sana ikiwa na makossa ambayo ni vigumu kuyagundua kwa haraka,mfano wa makossa hayo ni Utumwa ambao uliruhusiwa.Ilitengenezwa kuenyesha kuwa ndio wenye demokrasia bora hivo mataifa mengine watapaswa kujifunza kwao.Kimsingi lengo hili limefikiwa kwa kuwa kuna maelefu ya watu hukimbilia USA kutafuta Uhuru….USA imekuwa kielelezo cha uhuru wa binadamu Duniani…(Ukiona vyaelea vimeundwa) Masonia wanafanya kazi kwa akili kubwa
Great Seal hii ni nembo inayotumiwa na Serikali ya USA,ambayo katika ina ndege aina ya Tai(eagle)huyu ndege aliaminika kuwa kielelezo cha maarifa,kutokana na uwezo wake wa kuruka juu sana ambako hupata hewa safi .Mwandishi anasema alama zote ambazo zimetumika kwenye Great Seal ni alama zile zile ambazo tumeziona huko nyuma kuwa hutumiwa na Masonia.Ila mbele ya macho ya raia wa kawaida na ulimwengu kwa ujumla alama na rangi kwenye nembo hii ya USA zimepewa maana nyingine ya kawaida kabisa ili kuwaficha watu wasitambue(Tazama picha kwa ukaribu)
"NOVUS ORDO SECLORUM," hili ni neno la kilatini ambalo lipo kwenye note ya USD na kwenye Great Seal,halipo kwa bahati mbaya
 
Kitabu.New world Order
Mwandishi.Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ

Chapter 19 The Freemasons

Mwandishi anasema kuwa waandishi na watafiti mbalimbali wanaelezea Freemason kama moja ya taasisi imara na yenye nguvu nyingi kabisa katika historia ya binadamu
Masonia ni nani? Kama tulivoona huko nyuma hawa ni watu wa kada mbalimbali,wenye utajiri,weye vipaji,wenye nguvu,kutoka taasisi za umma na binafsi ambao kwa pamoja wanakusidia kujenga jamii huru….kuelekea kwenye Dunia iliyostaarabika.Matendo yao ni ya siri sana kwa kuwa mipango yao ni kwa ajili ya nyakati zinazokuja..hivo huwa haiwekwi wazi mapema.Freemason wamesambazwa kwenye maeno yote muhimu Duniani
Mwandishi anasema kuwa ndani ya hizi jamii zimejaa ujanja ujanja mwingi,kutokana na madaraja yaliyopo na kila daraja hufanywa kuamini kuwa linajua siri kuliko daraja lingine,ila kwa ujumla ni 10% tu ya Masonia ndio wanaelewa siri,wengine wanakokotwa tu.



Chapter 20 Those Who Object



Mwandishi anasema kuwa mwaka 1826 Kaptein William Morgan aliandika kitabu FREEMASONRY EXPOSED,baada ya kitabu hiki kutoka,mwandishi aliuwawa kwa kuweka siri nje.Huyu Mwandishi alitekwa na freemason wenyewe wakamtesa kisha wakamwua
John Quincy Adams,Rais wa sita wa USA alinukuliwa kwenye andiko lake akisema kuwa "I do conscientiously and sincerely believe that the Order of Freemasonry, if not the greatest, is one of the greatest moral and political evils under which the Union is now laboring
"a conspiracy of the few against the equal rights of the many; anti-Republican [here he was not refer- ring to the Republican Party, but to the concept of a republic as a form of government] in its sap [meaning vitality.]" "I am prepared to complete the demonstration be- fore God and man, that the Masonic oath, obligations and penalties cannot by any possibility be reconciled to the laws of morality, of Christianity, or of the land."
Aidha Rasi wa kumi na tatu wa USA Bwana Millard Fillmore, nae aliandika "The Masonic fraternity tramples upon our rights, defeats the administration of justice, and bids defiance to every government which it cannot control."
 
Kitabu New World Order
Mwandishi.Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ

Chapter 21 Albert Pike

Huyu ni mwandishi wa kitabu maarufu cha MORAL AND DOGMA ambacho mwandishi wa kitabu hiki cha NOW amekitumia kama rejea,kimetumika kama rejea kwa kuwa huyu Albert Pike ni moja ya Masonia mkubwa mwenye cheo cha digrii 33,cheo cha mwisho kabisa cha ukuu kwenye rank za masonia.Bila shaka maandishi yake yatakuwa yanarejea mambo halisi ya Masonia
Masonia wenzake wanamwelezea Albert Pike kama mwandishi wa ukweli uliofichaka,Mwalimu wa ukweli .Kitabu chake kimetumika ndani ya masonia na kwa wanafunzi wapya,wanaojiunga kama sehemu ya kutoa uelewa wa pamoja wa wale wanaojiunga
The capitalized words when taken together read: "I do promise that I will obey all summonses given to me from the hand of a brother Master Mason." That means that the President of the United States had to take orders from Albert Pike should he order him to do so! The significance of that startling proposition will become more evident as additional evidence of just what Mr. Pike be- lieved in is presented in further chapters of this study. There is a hierarchy in the United States! And Presidents who are Masons take orders from other Masons!

Chapter 22 Hiram Abif

Kama tulivoona kwenye sehemu zilizotangulia kuhusu matumizi ya alama/ishara,bado Masonia wanatumia majina ya wafalme/watawala kama mashujaa wao.Kwa mujibu wa kitabu kitakatifu cha Biblia,imeandikwa kuwa Mfalme Suleiman alikuwa anajenga hekalu kwa Mungu Jehova,bahati mbaya ndani ya ufalme wake hakuwa na mafundi wazuri wa ujenzi,hivo alilazimika kuomba wataalam kutoka Ufalme wa Hiram ambaye alikubali kumpa wajenzi wazuri.kwao Masonia huu ufalme wa Hiram ni moja ya alama kuu kwa kuwa alikuwa ni Masonia
"... the Master Hiram is the symbol of intelligence, liberty and truth and the assassins are the symbols of tyranny, ignorance and intolerance or fanaticism."

Chapter 23 The Hierarchy

Mwandishi anasema kuwa neno Hierarchy ni code ndani ya masonia ambayo hutumiwa kwa watu wachache wenye nguvu kubwa sana ndani ya Masonia,hawa ndio huamua matukio muhimu ya Kidunia,Kisiasa,kijamii,na kiuchumi….ndio hutoa na kuamua mwelekeo wa Dunia yote
Mwandishi anasema kuwa hawa Hierarchy wametengeneza mifumo mbalimbali ya kiutawala Duniani,ambayo haileti suluhisho la moja kwa moja la changamoto/matatizo ya watu Duniani,ndio maana hakuna nchi hata Moja ambayo inaweza kusimama leo na kujigamba kuwa imemaliza matatizo yote ya watu wake.Umaskini upo kuanzia bara hindi hadi Atlantic…hili jambo limetengenezwa kimkakati ili baadae waje na suluhisho la kudumu wakati huo population itakuwa imepungua ambayo itafanya watu wengi kukimbilia kwao na kuaminika…(Yaani wanatengeneza tatizo kisha wanalitatua ili kupata kuungwa mkono)
Ndio msingi wa kuiita New World Order kwa kuwa wakati ikianza kufanya kazi itakuwa wakati ambao mifumo yote yay a kiutawala,kidini,kijamii etc itakuwa imeshindwa,na mbadala utaonekana kuwa ni huu mfumo wao………hapa lazima ikumbukwe kuwa tangu enzi na enzi Binadamu hutaka kumtawala mwingine,ndio kusema kuwa swala utumwa wowote ule ni swala ambalo binadamu ameumbiwa nalo ndani yake.Na masonia wanakusudia kutawala ndio lengo kuu
Mwandishi anahitimisha kusema kuwa hakuna kificho kuwa kuna watu ambao wana nguvu dhidi ya watu wengine,mfano wazazi nyumbani watakuwa na nguvu dhidi ya watoto,sasa ulimwengu umejenga mifumo yenye nguvu dhidi ya ile mifumo rasmi,kuna nguvu isiyoonekana ndio yenye nguvu kuu kuliko hata tawala rasmi za Dunia
 
Kitabu.New World Order
Mwandishi.Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ

Chapter 13 The Pyramid of Giza
Mwandishi anasema kuwa Masonia wanakubaliana kabisa na Wamisiri kuwa Osiris alikuwa mungu(Osiris ni miongoni mwa miungu ya wamisiri) ambaye ni mungu jua,ambaye kwa baadhi ya wamisiri wanaamini kuwa yale Piramid ni mahekalu yaliyojengwa kwa amri ya Osiris…zinaitwa Pyramid of Gizeh inatamkwa Giza.Itakumbukwa kuwa watawala wa Misri maarufu kama Farao walikuwa na miungu kadhaa,waliyoiamini na inaaminika kuwa Farao wa aliyejenga Piramid alijenga kwa maelekezo ya mungu Osiris
Kwa mujibu wa watafiti mbalimbali kuhusu Piramid za Misiri,wanakubaliana kuwa ujenzi wake ulikuwa wa akili ya hali ya juu,ni moja ya uhandisi maridadi kabisa kufanywa na binadamu,na ndani ya Pramid kuna matumizi kadhaa,ikiwepo ibada,korido pana ya inchi 6000,kaburi etc lina mita 30 chini.Kimsingi kuna jamii mbalimbali za Dunia ambazo huenda kufanya ibada kwenye hizi Pramid(Pramid ni moja ya eneo linalopokea watalii wengi sana Africa) wengi huenda kama kutalii lakini ni sehemu ya ibada na ibada hizi zimeanza miaka mingi…zaidi ya miaka elfu sita
Mwandishi anasema kwa msingi huu sio kweli kuwa Pramid zilijengwa kwa misngi ya kuzika (makaburi)kama ambavyo imekuwa ikielezewa na watu wengi.Kuna uhusiano mkuwa wa Ibada za miungu,hasa mungu jua na New Agers,eitha ndani kabisa under ground kuna chamber maarufu ambayo huitwa Kings chambers na Queen Chamber hizi chamber zimewekewa Ventilator kwa ajili ya kuruhusu hewa
Chapter 14 Obelisks
Mwandishi anasema kuwa OBELISKS ni jiwe/mwamba mkubwaa wenye pembe nne,mfano wa mnara mkubwa kwa sasa upo unaitwa Washington Monument,wa pili ni Central park New York)ulihamishiwa kutoka Misiri mwaka 1831)wa tatu upo Vatican ambao Papa huelekea hapo wakati akihutubia(Lazima akae kuelekea mnara uliko)na wanne upo Alexandria Misiri.Rejea kila alama/ishara ina maana kubwa kwa masonia tumeona kuwa jua na nyota ni mojawapo ya alama takatifu kwao.Hivo basi kwa masonia wanaamini kuwa OBELISKS ni kiwakilishi cha mungu jua ambaye huabudiwa na wamisri na wao masonia huabudu jua kwa kuwa jua ni chazo cha Nuru na Nuru ni chanzo cha hekima na maarifa
Mwandishi anasema mnara wa Washington Monument ulijengwa kumuenzi Rais wa kwanza wa USA George Washington ambaye alikuwa active member wa Masonia na aliyetoa mchango mkubwa sana kwa jamii za siri.Mnara huu una urefu wa miguu 555.Ujenzi wake ulianza mwaka 1833 na kukamilika 1848,jumla ya paundi za capstone 3300 zilitumika kukamilisha namba 33 ambayo ndio namba ya juu kabisa ya Masonia.Wakati wa Ujenzi watu mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali walichangia ujenzi wake na walitoa mawe ya kumbukumbu(Mfano wa ile dhahabu ya malikia wa Sheba aliyompa Mfalme Suleiman)au ( Tausi ambao wastaafu wamepewa ni aina ya ndege wa ukumbusho/kumbukumbu) sasa basi Zaidi ya jamii 188 zilichangia mawe ya kumbukumbu na jamii 33 kati ya hizo zilikuwa jamii za siri za Masonia,ndio kusema wanatoa hela mfuko wa kulia wanahamishia kushoto….namba 33 inajitokeza tena hapo
Mwandishi anasema kuwa gharama ya ujenzi huu nayo iliakisi tena namba ya Masonia namba 13..ujenzi uligharimu usd 1,300,000(rejea ni mwaka 1848 ndio ujenzi ulikamilika,ni fedha nyingi hata kwa dunia ya leo) mnara huu una madirisha nane,mawili kila upande,madirisha sita yana ukubwa sawa ila dirisha namba saba na namba nane ambalo linatazama Mashariki ni makubwa Zaidi,kumbuka kuwa Masonia huamini kuwa mungu wao wanamwita Master huketi Mashariki hivo upande wa mashariki ni upande takatifu kwao.
Namba 13 ni moja ya alama muhimu sana kwa Masonia….namba ya Uasi (kwenye hotel nyingi za nyota tano huwa hakuna chumba chenye namba 13,maana inaaminika ni namba ya uasi,namba isiyokuwa na bahati,namba ya balaa na mikosi)
Kwa ujumla Mnara wa Washington una alama nyingi za namba na vielelezo ambavo vinadhibitiha kuwa ni mnara wa masonia.
Kimsingi hizi Obelsks zinaaminiwa kuwa watu wa kale hasa Misri ya kale ambayo ni moja ya kielelezo cha ustaarabu wa binadamu walikuwa wanamahusiano ya kiibada na miungo hii,hivo masonia wa leo wanaji attach nao.(kuna baadhi ya jamii Tanzania humwita mtoto jina la mtu aliyefanikiwa wakiamini na yeye atafanikiwa,wanafanya attachment)
Hongera kwa kazi kubwa..ila story nyingi za hao Freemason na Illuminati huwa zinaandikwa na wao mwenyewe ili kuwahadaa watu hasa wa imani fulani...nimesoma nimesoma vitabu na makala nyingi na ndani yake lazima ukutane na ambiguities....mf..hapo umezungumzia Vatican na kusema Papa lazima aelekee upande huo...hilo ni tatizo na so kweli.
Huo mnara jua majengo yote makubwa Ulaya yote karne za kati yalijengwa na wao..Kumbuka ni mafundi uashi....hakukuwa na yeyote isipokuwa wao

Kabla ya baadaye kujitenga na kujiita rasmi mafundi huru..au waashi huru freemasons.

Kumbuka waliweka alama zao kwenye kila jengo au tenda waliyopewa kujenga...kaangalie majengo mengi ya ulaya ya zamani yana alama hizo hadi makanisa.

Waliweka hilo alama au mnara wao wakati Walipopew tenda ya kujenga au kupanua kanisa la St Peters Vatican...

Kanisa lilipowabaini halikubomoa huo mnara ila kuwakomoa kanisa liliweka msalaba wa Yesu kristo mshindi na Alfa na Omega juu hilo limnara waliloliweka...hivyo ni tusi kubwa kwao...plani yao ilishashindwa tangu awali..

Kwa hiyo kanisa haliwezi kwa namna yeyote kuhusishwa na mwovu wanayepambana nae.
Screenshot_20200719-132912.jpg
 
Halafu kwanini kwenye nyumba zote za ibada, misikitini na makanisa ya Roma na KKT pamoja na majengo yao freemason kuna viminara fulani ambayo wengine huita ni uume wa Nimrod.
Nyumba zote za ibada???una uhakika na Una chose ma au ndio lengo la mada hii
 
Back
Top Bottom