Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,549
Mimi Sasa najisomea hiki Ila nimesoma zaidi 12 vya Hawa wainjilist
Hicho hapo juu mkuuKiko wapi?
Waohh hongera
Ndio nimeuliza hapa Jf na sio Facebook mzee😂😂😂Sio vitabu maalumu kwa kila mtu, maana vimeandikwa kwa lugha ambayo sio kila mtu anaijua.
Good Morning Holy Spirit umekisoma?? uzi mzuriMimi Sasa najisomea hiki Ila nimesoma zaidi 12 vya Hawa wainjilistView attachment 1838017
Okay!Ndio nimeuliza hapa Jf na sio Facebook mzee
Bado ndio nimekipata Jana mkuu nimesoma fire tuGood Morning Holy Spirit umekisoma?? uzi mzuri
Nina vitabu Sina nakala acha uvivu nunuaTupia nakala za hivyo vitabu, acha kuleta longo longo....
Kwenye kindle yanguMimi Sasa najisomea hiki Ila nimesoma zaidi 12 vya Hawa wainjilistView attachment 1838017
Benn HinnyGood Morning Holy Spirit umekisoma?? uzi mzuri
Pitia na shuhuda za Bhonke zinajenga mno.Mimi Sasa najisomea hiki Ila nimesoma zaidi 12 vya Hawa wainjilistView attachment 1838017
kwa hapa bongo unamkubali nani?Pitia na shuhuda za Bhonke zinajenga mno.
Youtube zipo kibao
umekisoma?Benn Hinny
Rev. Maghembe wa Majumba Sita.kwa hapa bongo unamkubali nani?
Naam but siku nyingi kidogoumekisoma?