DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,113
- 45,832
Kitika Kitabu hiki Kuna maelezo mengi Sana kuhusu Maisha ya binadamu. Binafsi Mimi nahitaji Kupata shuhuda kutoka kwa watu waliosoma hiki Kitabu .
Kuhusu suala la Umasikini na utajiri (poverty and wealthy) kwamba kupitia your (Subconscious mind )
Kuwa unavyoiambia subconscious mind yako unahitaji kuishi Maisha fulani ukawa umedhamiria ndani yako kuwa unahitaji Basi hayo Maisha utayapata na utayaishi.
Then anazungumzia kuhusu suala la Umasikini na utajiri kuwa lipo katika Akili yako ukiweza unlock ur mind Basi ur no longer a poor .
Mafanikio ni mkusanyiko wa mambo ila mtazamo wako akili ndo unabeba Mafanikio yako.
Kuhusu suala la Umasikini na utajiri (poverty and wealthy) kwamba kupitia your (Subconscious mind )
Kuwa unavyoiambia subconscious mind yako unahitaji kuishi Maisha fulani ukawa umedhamiria ndani yako kuwa unahitaji Basi hayo Maisha utayapata na utayaishi.
Then anazungumzia kuhusu suala la Umasikini na utajiri kuwa lipo katika Akili yako ukiweza unlock ur mind Basi ur no longer a poor .
Mafanikio ni mkusanyiko wa mambo ila mtazamo wako akili ndo unabeba Mafanikio yako.