Ameripoti katika ukurasa wake fb
"
Habari njema kwangu na kwa Watanzania, Kitabu changu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kimeingia rasmi kwenye maktaba ya dunia iitwayo Library of Congress iliyopo Marekani.
Hatua hiyo inafanya kuwa sasa kitabu hiki cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, kitatumika kama rejea (source) muhimu kwa wasomi na watafiti mbalimbali wa mambo ya kijasusi ulimwenguni
Unaweza kutembelea hapa >>> LC Online Catalog - Item Information (Full Record)
Na Yericko Nyerere"
"
Habari njema kwangu na kwa Watanzania, Kitabu changu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kimeingia rasmi kwenye maktaba ya dunia iitwayo Library of Congress iliyopo Marekani.
Hatua hiyo inafanya kuwa sasa kitabu hiki cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, kitatumika kama rejea (source) muhimu kwa wasomi na watafiti mbalimbali wa mambo ya kijasusi ulimwenguni
Unaweza kutembelea hapa >>> LC Online Catalog - Item Information (Full Record)
Na Yericko Nyerere"