Kitabu cha research

Kitabu cha research

Atlantis

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2015
Posts
383
Reaction score
514
Habari wana-JF!


Natumai mko vema. Ninataka kufanya utfiti fulani kuhusu masuala ya manunuzi y umma (Public Procurement) nchini, sasa nilikua nahitaji kitabu kizuri kinachoelezea namna ya kufanya research na data analysis kwa ujumla. Nilikuwa nakifahamu kitabu kimoj hivi kimeandikwa na mhindi lakini nimesahau title yake na jina la muandishi vilevile.

Hivyo basi, naomben msaada wana-JF yeyote anayefahamu kitabu hicho cha research anifahamishe tafadhali!
 
Vitabu vizuri vya reseach ni: Research Methodology written by: Chrishnaswami & Research methodology written by Kothari.
 
Waome TADIP ndio wazoefu zaidi kwenye maswala ya research....
 
1. C. R. Kothari . . . . . . ., .ndio famous na simple book
2. Lincoln & Denzin. . . Kiko vizuri pia
 
mkuu icho hapo
 

Attachments

  • 1443253601531.jpg
    1443253601531.jpg
    68.3 KB · Views: 103
Kothari ndo kila kitu ukipata kitabu hicho nazani tatizo lako litakuwa lishapata ufumbuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom