Munch wa Annabelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 6,355
- 11,067
Asimilia 80% ya agano jipya ni stori ambazo hata yesu hazijui Yani za vijiweni
Ukiamua ni jambo la kawaida ,maana Mimi nilihifadhi yote ,tulikuwa tunapishana namna ya kuisoma tu
Kama wewe ulihifadhi yote unaweza ukaelezea kipi kinafanya ionekane kuna ugumu wa kuhifadhi Qur'an na hadi kuwe na mashindano kabisa?Ukiamua ni jambo la kawaida ,maana Mimi nilihifadhi yote ,tulikuwa tunapishana namna ya kuisoma tu
Mashindano yale ni project za watu kupiga pesa ndio maana hata ndani ya waislamu wenyewe Kuna mifarakano kuhusu hayo matamashaKama wewe ulihifadhi yote unaweza ukaelezea kipi kinafanya ionekane kuna ugumu wa kuhifadhi Qur'an na hadi kuwe na mashindano kabisa?
Hivyo ndivyo wewe unavyoamini ila mimi nauliza uhakika wa wewe unajuaje hapo ulipo haujarogwa au kurogwa dalili yake ni kuokota makopo au kupagawa na mapepo tu?Nipo ndani ya Yesu ,sasa Yesu anarogeka?😂😂
Kama Yesu harogeki ,basi Mimi siwez hata kusogelewa na mchawi ,nishakaa nyumba zilizoshindikana kwa uchawi na wachawi wamenishindwaHivyo ndivyo wewe unavyoamini ila mimi nauliza uhakika wa wewe unajuaje hapo ulipo haujarogwa au kurogwa dalili yake ni kuokota makopo au kupagawa na mapepo tu?
Ndio nauliza kipi kinafanya ionekane kuhifadhi Qur'an si jambo jepesi? Maana hayo mashindano pamoja na mitazamo tofauti kama usemavyo ila lengo lao ni kuhamasisha huko kuhifadhi Qur'an kutokana na msingi wa hoja ya kwamba kuhifadhi Qur'an si jambo jepesi.Mashindano yale ni project za watu kupiga pesa ndio maana hata ndani ya waislamu wenyewe Kuna mifarakano kuhusu hayo matamasha
Kama hujui nakujuza
Ni kushindana lahaja tu ,hakuna kipyaNdio nauliza kipi kinafanya ionekane kuhifadhi Qur'an si jambo jepesi? Maana hayo mashindano pamoja na mitazamo tofauti kama usemavyo ila lengo lao ni kuhamasisha huko kuhifadhi Qur'an kutokana na msingi wa hoja ya kwamba kuhifadhi Qur'an si jambo jepesi.
Wewe umejuaje wamekushindwa? Uliingia nao battle au waliahidi kukuroga ama vp yani? Maana kuishi nyumba au mtaa wenye wachawi sio kwamba lazima watataka kukuroga pia.Kama Yesu harogeki ,basi Mimi siwez hata kusogelewa na mchawi ,nishakaa nyumba zilizoshindikana kwa uchawi na wachawi wamenishindwa
Karibu kwa Yesu kristo
Kipi kinafanya watu waone kuwa kuhifadhi Qur'an ni jambo gumu sio jepesi? Tumie uzoefu wako kuelezea.Ni kushindana lahaja tu ,hakuna kipya
ni kukoswa umakini tu,kuran ni mashiri Machache sana linganisha na Album ya west life.Umeeleza kinadharia ila uhalisia hali haipo hivyo maana ingekuwa kila muislamu kuhifadhi Qur'an lingekuwa jambo la kawaida.
Duh sema kukariri Quran na kusoma kiarabu halafu ukaacha dini, utakuwa na IQ kubwa sana?Baadae ilibidi sasa nikasome lugha ya kiarabu
ImagenUpo sahihi, ni kitabu kidogo sana ,assume tu inazidiwa na agano jipya😂
Watu tunatofautiana uwezo wa kukaririUmeeleza kinadharia ila uhalisia hali haipo hivyo maana ingekuwa kila muislamu kuhifadhi Qur'an lingekuwa jambo la kawaida.