Ina maana unabii haujatimia au umeshatimia ila kilicho baki ni muda tu ?Baada ya unabii kutimia... Kitabu cha ufunuo kila haya majibu labda hili linahitaji post kamili kuhusu kiama/kiyama na kile kilichomo kwenye kitabu cha ufunuo
hakuna Hoja ulichpfanya ni kumpamba bibi harusi Kwasababu ya mahabaReplies zako 3 tofauti tayari zimekutambulisha kiwango chako cha ufahamu... Hupaswi kulaumiwa wala kukasirikiwa bali kuelekezwa kwa upole na kujulishwa kwamba huku ni intelligence na sio jukwaa la siasa kwenye matusi dhihaka na vijembe... Huku hoja inajibiwa kwa hoja
Inawezekana kabisa wewe ni mgeni hapa ama ni mkongwe lakini kwa ID mpya..... Lakini iko hivi si kila wakati lazima tuandike vitu complicated... Vingine huwa viko wazi japo kuna tafsiri kubwa sana nyuma yake kama ukisoma kwa kutulia... Lakini pia kumbuka si kila siku utavaa nguo zilezile au kula chakula kilekilenjoo na nyuzi fikirishi
Kuna tofauti ya tafsiri ya muda uliomaanishwa kwenye bible na muda muda tunaoufahamuIna maana unabii haujatimia au umeshatimia ila kilicho baki ni muda tu ?
Hii kaka sio kwa masiku ya duniani,nini namanisha hapa. Swali langu linazungumzia siku ya kiyama kwa maana kitakapo tikea.Kuna tofauti ya tafsiri ya muda uliomaanishwa kwenye bible na muda muda tunaoufahamu
Neno la Mungu linasema hivi... Siku moja kwake ni sawa na siku elfu moja kwako na siku elfu moja kwako inaweza kuwa sawa na siku elfu moja kwake...
Hii kaka sio kwa masiku ya duniani,nini namanisha hapa. Swali langu linazungumzia siku ya kiyama kwa maana kitakapo tikea.
Kuhusu siku moja kwake sawa na masiku elfu kwetu katika yale masiku ya uumbaji.
Na Allah ndie anaejua zaidi.
Swali langu linaulizia ile siku ya uduniani ambacho kiyama kitatokea,je Biblia inasema kitatokea lini ?
.Kitatokea baada ya yale yaliyotabiriwa katika unabii kupitia kitabu cha ufunuo kutimia... Je ni unabii gani huo? Je kiama bado ni valid? Kwakuwa kuna mahali Mungu anasema haitateketeza tena dunia kwa moto wala kwa maji... Refer Gharika ya nyakati za Nuhu na moto enzi za Sodoma na Gomora...
Unaweza nitajia hayo yaliyotabiriwa ili nipate faida ?
Hadi pale atakaporudi Masihi Mwana wa Mariamu, kuja kuuhukumu ulimwengu kwa yale uliyotenda hapa duniani.Unaweza nitajia hayo yaliyotabiriwa ili nipate faida ?
Kaka ni makosa kuandika aya kwa lugha isiyokuwa ya kiarabu sababu unakosea na unabadilisha maana. Kuwa makini mzee. Hapa utaona sasa kati yangu mimi na wewe nani anatakiwa asome sana ?Hadi pale atakaporudi Masihi Mwana wa Mariamu, kuja kuuhukumu ulimwengu kwa yale uliyotenda hapa duniani.
Zaidi Soma kijana usitake kutafuniwa kila kitu, hii ni Jamii Intelligence.
Ya Radhiiina Amanu, Iqraa Bismi Rabik.
Ilikuwaje akashindwa kumzuia asilogwe!? Kama kweli alimpeleka mbinguni na kumrudisha tena duniani..?unachoshangaa kitu gani mbona jambo dogo hilo kwa Mungu
Kazi ya ufagio kwa mtumiaji ni kufagia mengine anayejua ni designer, biblia ina mengi mkuu na information za uhakika zipo kwenye original Bible tofauti na hizi tunazotumia zilizotafsiriwa na watu.Jina huathiri muktadha, asili, chanzo na uhalisia wa kitu..... Kitabu cha MWANZO katika Biblia takatifu ndicho kitabu msingi kinachosomwa zaidi duniani... Tena na imani na dini zote...
Nukuu na rejea nyingi kwenye malumbano mijadala, tafiti za kisayansi, tafiti za kilozi na kishirikina, ulimwengu wa nguvu ya 'supernatunal powers (nguvu zisizomithilika) na hata maandiko mbalimbali yahusuyo asili na chanzo cha ulimwengu... Huwezi kuacha kutaja kitabu hiki....
Masomo ya sayansi, fizikia, baiolojia, historia, kemia historia, filosofia uchawi na ulozi.. Yote haya katika ujumla wake unayapata katika kitabu hiki cha MWANZO....
Unaposoma... MUNGU AKATAMKA NA IKAWA... hii ni aina ya ushirikina, imani katika nguvu za asili na uwezo wa kuumba na kuunda kwa matamshi tu... Sayansi iwayo yote haina uwezo huu... Mambo hayo kwasasa ni ya manabii mitume na wachawi(wanga na washirikina)
Mungu anapotamka kuwa kaumba viumbe vyote... VINAVYOONEKANA NA VISIVYOONEKANA... mpaka leo hii sayansi imeshindwa kutoa jibu sahihi juu ya hivyo VISIVYOONEKANA!
Hapa ndipo inabidi turudi kwenye rejea ya kitabu cha MWANZO na kuona nini kilisemwa na kikawa halafu kikawaje! Na ndipo tunapata ufunuo wa ajabu na ugunduzi kwamba hii tunayoita SAYANSI YA ITHIBATI si chochote bali ni njia tu ya mwanadamu kujaribu kutafsiri kwa njia yake kile ambacho kilishaandikwa na kufanyika kwenye kitabu cha MWANZO
Hakuna kipya chini ya anga na kwa hakika bado hatujaweza kuvumbua kila kilichomo na kilichoandikwa kwenye zile kurasa chache za kitabu cha MWANZO
World encyclopedia, volumes kwa volumes za sutras, misahafu kwa misahafu, maandiko na mavitabu makubwa ya wanafilosofia maarufu kuwahi kutokea duniani... SUMMARY yao iko kwenye kitabu cha MWANZO
Kuna wenzetu wenye mawazo mbadala kuhusu Bible na kitabu cha mwanzo.. Ukiwa mwepezi wa tafakuri wanaweza kwa HAKIKA kabisa kukuteka na hoja zao mahiri kabisa lakini zisizo na hakika.. Ni wajenzi wazuri wa hoja zinazoteteresha kama wewe ni legelege lakini ukitulia na kutafakari hawana mwendelezo na hawaendi zaidi ya kilipokomea kitabu cha mwanzo...
Wataandika na kuchagiza kwa maneno mengi na misamiati huku wakiweka nukuu za wengine ambazo nazo zinaishia kwenye kuakisi kile kilichomo kwenye kitabu hicho cha mwanzo....
Tukirudi hapa JF hata jukwaa hili la intelligence kwa sehemu kubwa linatawaliwa na maandiko toka kitabu cha mwanzo...
Ni kwa Muktadha huu kitabu hiki cha MWANZO kinabaki kuwa chanzo kikuu, msingi, chimbuko na asili ya kila kitu katika maisha yetu ya kila siku... Iwe sayansi uchawi imani ama intelijensia....!!!
Umejuaje kama hiyo ni Aya ?Kaka ni makosa kuandika aya kwa lugha isiyokuwa ya kiarabu sababu unakosea na unabadilisha maana. Kuwa makini mzee. Hapa utaona sasa kati yangu mimi na wewe nani anatakiwa asome sana ?
nilikuwa nakuangalia uwezo wako wa kupambanua mambo sasa kwa vile umeonya ujuaji twende sawaNatambua wazi huwezi kujibu zaidi ya hiki ulichojibu
Kwenye kitabu cha mwanzo unaweza kuniambia kati wanyama na binadamu nani alianza kuumbwa?Umejuaje kama hiyo ni Aya ?
Kwani hiyo Aya yako inabidi iandikwe kwa Lugha gani ?
Na ni Aya ya nini ?
Umejuaje kuwa hicho ni Kiarabu wakati mimi sijakuambia chochote ?
Hebu nipe Darsa nijue
Natabasamu kwa fulaha