Mdude_Nyagali
Member
- Dec 11, 2022
- 84
- 1,494
Binafsi naamini mwaka huu kuna anguko kubwa la CCM. Ndio maana tangu January mwaka huu nilianza uandishi wa kitabu kinachosimulia anguko la CCM. Ndani ya kitabu hicho nasimulia siasa za Tanzania tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995.
Ndani ya kitabu hiki kuna simulizi ya mabaya na mazuri ya tawala zote kuanzia Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa niko naandika ya Samia. Kitabu hiki kitakuwa release baada ya anguko la CCM.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Ndani ya kitabu hiki kuna simulizi ya mabaya na mazuri ya tawala zote kuanzia Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa niko naandika ya Samia. Kitabu hiki kitakuwa release baada ya anguko la CCM.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.